Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Napenda kuwauliza wanawake wa humu javini.
Kati ya hao tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari wewe chaguo lako ni lipi?
Nimekutana na maelezo kadha wa kadha kutoka kwa wanawake tofauti tofauti kwamba.
Asilimia kubwa ya wanaume wenye mshiko jogoo hawiki vizuri, kiasi cha kutumia dawa za ku boost ili japo kidogo engine iwake.
Maswala haya yamesababisha kero kubwa sana ndani, yaani kwenye unyumba. Mwezi wake akiwa anahitaji sababu zinakuwa nyingi na kujifanya jamaa yupo busy au anatafakari issue za miradi yake. Kitendo hiki kimewafanya wanawake walio wengi kujipatia vijeba vya pembeni ili viweze kutimiza haja zao. Huku vikipewa vipesa vya hapa na pale.
Nasikia kwamba mijeba hiyo yenye pesa inapenda kuhonga sana wanawake na kutunyima fursa sisi wawekezaji wa uhakika. Hiyo mijamaa inamwaga pesa nyingi na mwisho wa siku haifanyi chochote. Mijeba hiyo ninavyosikia eti yenyewe ni kutanzama tu na kushika shika kisha basi issue inaishia hapo mtoto wa watu anaambiwa nenda huku akipewa minoti minono.
Kitendo hiki kimewafanya many shes kuwa na nyodo nyingi huku wakiringia walichopewa na sisi kunyimwa. Ma toys na vi mbwa vile vyeupe vya kizungu ndivyo vinakuwa rafiki wa karibu kwao.
Nikawa naulizia sana hivi kwa nini mashine nyingi hazifanyi kazi? Nikapata taarifa za hapa na pale ambazo siyo za uhakika eti, unywaji wa pombe aina fulani fulani unafanya mambo haya kugeuka kituko mbele ya warembo. Na ili kujifariji itabidi jomba amwage mipesa na kuwanyima wamiliki wa viwanda kuwekeza na kuzitumia mashine zao vizuri.
Mimi siyo mtaalamu sana labda mwenye details zaidi anaweza kufafanua vizuri ili tutafute namna ya kutatua tatizo hili.
Kati ya hao tajwa hapo juu kwenye kichwa cha habari wewe chaguo lako ni lipi?
Nimekutana na maelezo kadha wa kadha kutoka kwa wanawake tofauti tofauti kwamba.
Asilimia kubwa ya wanaume wenye mshiko jogoo hawiki vizuri, kiasi cha kutumia dawa za ku boost ili japo kidogo engine iwake.
Maswala haya yamesababisha kero kubwa sana ndani, yaani kwenye unyumba. Mwezi wake akiwa anahitaji sababu zinakuwa nyingi na kujifanya jamaa yupo busy au anatafakari issue za miradi yake. Kitendo hiki kimewafanya wanawake walio wengi kujipatia vijeba vya pembeni ili viweze kutimiza haja zao. Huku vikipewa vipesa vya hapa na pale.
Nasikia kwamba mijeba hiyo yenye pesa inapenda kuhonga sana wanawake na kutunyima fursa sisi wawekezaji wa uhakika. Hiyo mijamaa inamwaga pesa nyingi na mwisho wa siku haifanyi chochote. Mijeba hiyo ninavyosikia eti yenyewe ni kutanzama tu na kushika shika kisha basi issue inaishia hapo mtoto wa watu anaambiwa nenda huku akipewa minoti minono.
Kitendo hiki kimewafanya many shes kuwa na nyodo nyingi huku wakiringia walichopewa na sisi kunyimwa. Ma toys na vi mbwa vile vyeupe vya kizungu ndivyo vinakuwa rafiki wa karibu kwao.
Nikawa naulizia sana hivi kwa nini mashine nyingi hazifanyi kazi? Nikapata taarifa za hapa na pale ambazo siyo za uhakika eti, unywaji wa pombe aina fulani fulani unafanya mambo haya kugeuka kituko mbele ya warembo. Na ili kujifariji itabidi jomba amwage mipesa na kuwanyima wamiliki wa viwanda kuwekeza na kuzitumia mashine zao vizuri.
Mimi siyo mtaalamu sana labda mwenye details zaidi anaweza kufafanua vizuri ili tutafute namna ya kutatua tatizo hili.