Mwanaume Lazima uchanganyikiwe👇👇

Mwanaume Lazima uchanganyikiwe👇👇

Nimejaribu kuondoa msamiati ndoa hapo, hakuna tatizo limebakia.

Kweli ndoa ngumu.
 
Kiukwel haya mateso hata mimi toka niachwe na ex-yf, sina kabisa mateso ya kijinga jinga haya. Kila nikikutana na wadau wanashangaa "mbona unanawiri siku hizi?"😂
Ukifingua mdomo wako nakutamka neno nakupenda ndio matatizo yako yanapoanzia😆
 
Ila sa100 anakutana na mitihani mingi sana mwaka huu, ebu ngoja tusubirie na Kakurwa atakuja na lipi
 
Ndiyo maana Mimi huwa priority wanaume wenzangu nikiwa na mchongo au nafasi ya kazi nayoisimamia.
Mwanaume akipata, jamii imepata.
Wenzetu (wengi wao) wakipata, makampuni ya designers ndo yamepata.
 
Leo kuna mtu ofisini kahoji hivi wake za maraisi wetu toka tupate uhuru wapo? Tukaanza kuchekecha
Nyerere-Mama Maria yupo
Mwinyi-Mama Siti na mama Hadija wapo
Mkapa-Mama Anna Mkapa yupo
Kikwete-Mama Salma Kikwetu yupo bahati mzee wa Msoga yupo
Magufuli-Mama Janet Magufuli yupo
Na mimi nikaongezea baba yangu alikufa mama yangu alikufa miaka 12 baadae
Babu mzaa baba yangu alikufa bibi yangu akafa miaka 6 baadae
Babu mzaa mama yangu alikufa bibi akafa miaka 17 baadae
Baba yangu mdogo alifariki mwaka 2012 mama bado yupo
Kijijini kwetu mababa wengi walishatangulia lakini wamama bado wapo.
Maswali ya kujiuliza je nini hasa chanzo
Kiufupi wanawaume wanafanya kazi mazingira magumu kuliko wanawake
Hata mwanamke ukiwa unafanya ya ajabu anaweza kukwambia unafanya hivi ukifa uniache na hawa watoto yaani ni shida kila mahali
 
Back
Top Bottom