Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,023
- 71,229
Kisha upate Papai , Unywe Maji Nusu Lita
Baadae Upige shooo shooo
Ataanzaje kukuletea mapozi?
Baadae Upige shooo shooo
Ataanzaje kukuletea mapozi?
Hahahaha
Dona mwambaa , Kuanzia kesho naongezea kitu cha muhogoMwamba ni Dona,!?
Mwambaaawabillah tawfiq
Msosi mzuri sana huu,ukishusha na maji ya baridi na TIKITI maji ni balaa hapo!!Kisha upate Papai , Unywe Maji Nusu Lita
Baadae Upige shooo shooo !!
Ataanzaje kukuletea mapozi?.View attachment 1654607
jiandae kulala fofofo na show ya chini ya kiwango.Kisha upate Papai , Unywe Maji Nusu Lita
Baadae Upige shooo shooo !!
Ataanzaje kukuletea mapozi?.View attachment 1654607
Alaah unataka picha ya TongeeWeka ile picha mwamba kabeba ugali begani sio huo ugali uko kwenye sahani ndogo ivo.
Ugali mdogo sana, huo we wa wapiiiiKisha upate Papai , Unywe Maji Nusu Lita
Baadae Upige shooo shooo !!
Ataanzaje kukuletea mapozi?.View attachment 1654607
Nilijua tu Wanaume wa Dar mtaanza kusema kingiKwa nini unakula chakula kingi namna hiyo ? Kwani unafanya kazi ngumu au unakula mara moja tu kwa siku ?
Mkuuu , huwa sipo mchov ivojiandae kulala fofofo na show ya chini ya kiwango.
... kesho nitakwambia kwanini. usiku mwema
Mkuu , Karibu sana, Jmos moja au jplNautamani niukarabati
huyu inanafasi yake mbingunHuyu mwamba Ni noma.
View attachment 1654618
Kajojo kajojoUgali mdogo sana, huo we wapiiii
Ndo ivo mkuu , nikila kiduchu huwa sijihisi nmeshibaMimi sio mwanaume wa darisalama ila swala la kula inategemea kazi anayofanya mtu au mazoezi.
Huwezi kula chakula kingi kama kipo muda wote alafu hufanyi mazoezi
Daaah Kabisa mkuu, Tikitikiti + maji ya baridiMsosi mzuri sana huu,ukishusha na maji ya baridi na TIKITI maji ni balaa hapo!!