mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Hahaaaaa tehUle peke ako kwani sumu hiyo?
Hahaaaaa tehUle peke ako kwani sumu hiyo?
Yes I agree with you 100% so can you provide us your strong argument!!!?Very poor argument...
Wanawake wengine hawasubiri kutongozwa bali wanajitongozesha wenyewe na wakati wao ni wake za watu,hili nalo unalisemaje..?
Sahihi kabisaUko sawa.
Teh... vipi wanaotoka na waume za watu mbona hawazungumzii. Ni kama hataki wake agongwe! Ha ha haaa.nadhan ungesema hata na wadada wanaotembea na waume za watu !unavua nguo na unaona pete kbs mkonon mwa mwanaume ! nakosa cha kusema ! demi kapeace njoon mnisaidie 2
bdw ukiona mke anachepuka na sio tabia yake toka uchumba jua kuna kitu hakipo sawa jipeleleze mwanaume !ingawa wengine ni hulka yao !
ni MENGI SANA !
Duh!Ndio maana wengine wakishika mwizi wanaenda hatua za mbele zaidi ya zile za makinikia wanachana Linda,kwishaaa habari yako.
Wanawake wao hawajielewi? Hawawezi kujitetea wenyewe? Ukiona mwanamke naye anakubali kuvua chupi kwa mwanaume ambaye si mume wake ana element za umalayaIfike mahala wanaume tuoneane huruma, mwanaume mwenzako anatoa posa, anatoa mahari anaoa mwanamke. Anamvesha anamlisha anamgharimia kila kitu kwa moyo wake wote unakuta mwanaume mwingine anayejua kuwa huyu ni mke wa mtu anakuwa naye kwenye uhusiano.
Wapo wanawake wadhaifu wakitongozwa kukataa hawawezi ndo hilka ya baadhi ya wanawake lakini wanaume tukiwa na roho ya huruma kwa wanaume wenzetu tunaweza komesha ufuska na tabia hii chafu.
Wanawake ambao hawajaolewa wapo wengi sana hao hawana kipingamiza wala hutolaumiwa na yeyote. Wapo wanawake wengi wanajiuza inakuwaje uparamie mke wa mwanaume mwenzako.
Wanaume tukiamua kujitetea na kukomesha tabia hii itakuwa msaada mkubwa kwa wanawake maana hawatasumbuliwa pia wataepukana na vishawishi.
USITONGOZE WALA KUWA NA UHUSIANO NA MKE WA MWANAUME MWENZAKO. WANAUME TUPENDANE TUONEANE HURUMA.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu umesema ukweli mkuu sema sasa wanajifanya hawaelewiWakuu, huu uzi sio mwembamba kama ambavyo mnauchukulia kiwepesi hivyo, zameni ndani zaidi ili kupata tatizo, kisha mtafute tiba yake,, Nikweli hali hio imeshamiri sana hasa ktk mataifa mengi, TATIZO KUBWA HAPO linakuja baada ya ninyi kufunga ndoa au hata kuishi bila ndo, lengo ni kuwa family ktk maisha yakila siku, ktk maisha ya ndoa au unyumba ,kuna vitu huwa vinajitokeza automatic ambavyo havina suluhisho na nijanga kubwa sana japo huwa halijionyeshi ktk hadhara, jambo hili?NIKULE KUTO FURAHIA TENDO LA NDOA HASAHASA KW WAKE ZETU HAWA,kule kutomtosheleza mwamke ndiko kumezua haya yooote ,, Mke humtumi akatosheka una mwagiamwagia tu, unashuka wakat mke anatakiwa ALIWE kisawasawa hadi umtoeham,, Ndio kazi kubwa waluoumbiwa na mungu, mengine ziada tu, Ukishindwa kufanya hivyo juwa mke atapeleka ikasuguliwe vizuri nawasuguaji, lakini pia upande wao hawa jike wawe ni wenye kumbembeleza dume wakati dume lipo kazini, Hasa pale linapokuwa limepumzika ktk raund ili kumhamasishia hisia ili apande tena kizimbani kutoa hukum yandoa, Mwanamke nikiumbe kaumba kwa kazi hio kubwa, tena uki t0...mb....!! Vizuri akarizika " utamuona ananawiri nundu chuchu,muonekano wake unakutamanisha muda wote,hana hasira ni kucheka na matabasam yakufamtu, Usipo fanya hivyo, utamuona anajisonya mara kw mara, kanuna nuna tu,hasira hazimuishi tena anaweza kuchapa hata watoto bila hata sababu zamsingi, kwahio wacha waliwe kama waume zao WABOVU!!"
Wewe unalala na mwanaume mwenzako?HANA AKILI MTU YEYOTE ALALAYE NA MWABAMKE
Teh... vipi wanaotoka na waume za watu mbona hawazungumzii. Ni kama hataki wake agongwe! Ha ha haaa.
Mkuu KITUMBUA CHA KUGOMBANIA KITAMU,, JAPOKUWA KINA MCHANGA ,,,,yaani kitendo cha kujuwa huyu mke wa mtu,,,napata NGUVU ZA AJABU.....nakwenda saa nzima bila kushuka.....halafu WAKE ZA WATU hawana gharama.....akija GHETO anakuja na MAPOCHOPOCHO kwanza..yaani hufi njaa...