nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
nnunu tayari umeishaolewa??? Una mabusara sana
ASANTE kwa mtazamo wako juu ya comment yangu,
Busara yangu imesababishwa na UWAZI WAKO,
Hakuna jambo zuri kama kuonesha msimamo wako waziwazi.
Mi nimependa sana ulivyosema wazi hauwezi kubadili
japo nilijitahidi kukushawishi kidogo.
UMEDHIHIRISHA KUWA HAUDANGANYIKI....lol