Mwanaume kuwa na Surname

kwa mtazamo huo hapo juu sijui kama inawezekana na hasa hapa TZ,
Kama BAADHI ya wanaume wanaishi kwenye nyumba ya mke wake,au nyumbani kwa wakweze(yaani wazazi wa mke), 100% mwanamke ndiye anakuhudumia mume wake pamoja na familia. KUNA UBAYA GANI MWANAUME UKITUMIA SURNAME YA MKE?

Aah jamani wanaume onesheni basi upendo KWA WAKE ZENU kwa kutumia majina yao...lol,
Na hasa mnaowaza kufunga ndoa sasa hivi hili wazo mnaweza kulifanyia kazi..lol
.

ILA DADA UNAPOSIKIA KAKA YAKO ANATUMIA SURNAME YA MKE WAKE UTAJISIKIAJE??....lol
Bado haujanipata
 
yeah possibly inawezekana kwa Matrilineal society which based on kingship with the mother or the fimale line!

Nadhani hata kwa tamaduni hizo jina ukoo la mume halibadiliki isipokuwa watoto wake wanachukua ubini wa wajomba (kama ilivyowahi kusemwa kuhusu Mkapa)!

Nadhani pengine swali la msingi ni je kuna umuhimu wowote kwa mmojawapo wa wanandoa kubadili jina lake la ukoo mara wanapooana?
 
Habari ya W/end wanaJF

naomba kuuliza
mwanaume anaweza kubadilisha ubini (Surname) yake na kutumia ya mkewe?

Mmmh! Blaki womani,
unaongelea MWANAUME YUPI HASA??,
Huyu wa Kitanzania?,
wa kutoka kule MUSOMA, MKURYA?,
MMASAI?
MHAYA?,MNYAKI?,
MCHAGA?,MPARE?,
MHEHE?,na wengine wote wa KITANZANIA.
...

Lakin kwenye Upendo bwana....sijui LABDA inawezekana jambo......
 
Shosti
hii dunia kuna mambo kweli
tulikuwa tunajua surname aliyokuwa anatumia mume/watoto ni kutoka kwa upande
wa mume kumbe ni kwa mkewe walifanya siri sana
 
Habari ya W/end wanaJF

naomba kuuliza
mwanaume anaweza kubadilisha ubini (Surname) yake na kutumia ya mkewe?



Black woman ni kweli inawezekana na hii inatokea sana katika familia ambazo unakuta mdingi ni tajiri level kama millionea or tycoons uko - na katika situation ni kua anakua hana mtoto wa kiume bali wa kike, ili kuhakikisha jina lake huyo mzee linabaki kijana yeyote mwenye vigezo na willing anaoa huyo binti na kuchukua jina la baba mkwe, hata watoto vivyo hivyo.

Kimbembe chake katika hio hali unafikiri huyo mwanaume alie rithi jina anaishi kwa staili gani? hana maamuzi, hana uwezo (material), hana mwelekeo, hana jina - katika kundi langu la wanaume huyo nae ni mmoja wapo kutolewa nje!
 
Nnunu
hapa TZ Bongo

Mmmh! imani yangu ndogo sana ,
kama hili linaweza kufanyika hapa TANZANIA,,
Na hasa nikiyasoma mawazo ya mmojawapo ya wanaume wa KIBONGO,
kama THE FINEST.....
Narudia tena LABDA INAWEZEKENA.....lol
 
A woman has no religion/clan/sirname/culture & norm etc until she gets merried.
 
Shosti
hii dunia kuna mambo kweli
tulikuwa tunajua surname aliyokuwa anatumia mume/watoto ni kutoka kwa upande
wa mume kumbe ni kwa mkewe walifanya siri sana



BW unaweza atleast uka paint kidogo maisha yao na shughuli binafsi zilikua vipi?
 
Black woman ni kweli inawezekana na hii inatokea sana katika familia ambazo unakuta mdingi ni tajiri level kama millionea or tycoons uko - na katika situation ni kua anakua hana mtoto wa kiume bali wa kike, ili kuhakikisha jina lake huyo mzee linabaki kijana yeyote mwenye vigezo na willing anaoa huyo binti na kuchukua jina la baba mkwe, hata watoto vivyo hivyo.

Kimbembe chake katika hio hali unafikiri huyo mwanaume alie rithi jina anaishi kwa staili gani? hana maamuzi, hana uwezo (material), hana mwelekeo, hana jina - katika kundi langu la wanaume huyo nae ni mmoja wapo kutolewa nje!



Mmh! hapo chacha...
 
Black woman ni kweli inawezekana na hii inatokea sana katika familia ambazo unakuta mdingi ni tajiri level kama millionea or tycoons uko - na katika situation ni kua anakua hana mtoto wa kiume bali wa kike, ili kuhakikisha jina lake huyo mzee linabaki kijana yeyote mwenye vigezo na willing anaoa huyo binti na kuchukua jina la baba mkwe, hata watoto vivyo hivyo.

Kimbembe chake katika hio hali unafikiri huyo mwanaume alie rithi jina anaishi kwa staili gani? hana maamuzi, hana uwezo (material), hana mwelekeo, hana jina - katika kundi langu la wanaume huyo nae ni mmoja wapo kutolewa nje!

Kama maisha ya mkewe ni kawaida
 
a woman has no religion/clan/sirname/culture & norm etc until she gets merried.


kwa mtazamo hasi kama huo je wanaweza kweli,
kubadili jina??? Na hata akibadili je wanaume wenzake,
wanamwonaje?, au wanamweka kundi gani??
 
Asha D
maisha yalikuwa yakawaidia kabisa
wote waajiriwa serikalini
walikuwa wanaishi kwenye nyumba za serikali kipato cha mtanzania wa kawaida
wamejenga nyumba ya kawaida kabisa hakuna cha utajiri pande wa mwanamke wala mume
Mungu amewajalia watoto wa kike na wakiume
 
Back
Top Bottom