Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

Hao hao mnaokutana nao tip top ndio wanapenda vitamu vya wanaume, kwanza ukishaona mwanamke ana kazi yake inayomuingizia kipato anaomba kuliko maelezo ujue huyo hakupendi unamlazimisha vivyo hivyo kwa wanaume mi ukinianzia hivyo fide nitakutoa balu mpaka kwenu

wape wape Maty.....wajibebe....wapenda bure na dezo..!!:washing:
 
Haki sawa hakuna wala nini kwanza si mshukuru siku hizi tunafanya kazi hatuwaombi ombi wanaume bana usipomuomba hela anabadilisha kiabao anaanza yeye kwa kudhani labda unazo sana kumbe basi tu mtu uso umeumbwa na haya kama unapata kidogo cha kukutosheleza uombe ombe ili iweje? sasa hivi wanawake wengi tu hawana tabia ya kuomba omba

Hapo ssa ninaweza kujikimu, niombe ili nianze kuambiwa sijui nn tena. Goal keeper au?
 
@MESTOD- ningemuomba anipe ina mana ya kwamba tayari angekuw ani mpenzi wangu so nisingekuja kulalamika,ila kwasababu sio mpenzi wangu na ndo yuko kwenye stage ya kunitongoza ndo mana kaniPUT OFF.

@Samora- sijawahi kukutana nae physically i.e. kama unamaanisha sexual intercourse..nimesema ni mtu ninafanya nae kazi nothing more.

Wanaume mnafurahisha sana,hapa mnajaribu kutetea lakini deep down ur hearts mnajua jamaa kachemsha..nyie wote mnaojibu hapa je mmewahi au mnaweza kufanya hivyo??
nijuavyo mimi mwanaume mara ya kwanza lazima ajitutumue ili aonekane yeye anaweza na sio kujishusha na kutafuta mteremko.


nakuabaliana nawe 100%.. ila ndio maana nikasema labda yuko mahala ambapo sio rahisi kupata vocha, akaona mtu wa karibu kumsaidia ni wewe kipenzi chake:tongue:
 
Kwa sababu za kimazoea au??

True love requires tender passion and faithful devotion to triumph beyond a feigned heart
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
 
Wanawake kupenda vya dezo . . . NI SAWA
Wanaume . . . SIO SAWA

Lakin hapo hapo wanawake wanataka USAWA??? :lol::lol::lol:
 
Mimi nikimuomba mwanamke vocha ya buku 2 ujue nina shida ya hatari sana, na niko sehemu ambayo hakuna benk wala vocha

Sasa unaona kumbe unajua mwanaume hatakiwi kuomba vocha ni aibu ujue au usikie eti simu inakwisha pesa nipigie kha!!! Nitakupa kibuti hicho hujawahi kukiona aibuuuuu dume zima eti naomba vocha.
 
Kwani hicho unacho jigamba nacho kitamu?

Hicho kina radha ya chumvi mama sio kitamu.

mi sijajigamba babu,usinisemee........kama kwako kina ladha ya chumvi kwa wenzio chaitwa kitamu na uchumvi chumvi wake.....haipendezi kuomba vocha....labda kama una tatizo linaloeleweka !! tabia mbaya!!:washing:
 
Sasa unaona kumbe unajua mwanaume hatakiwi kuomba vocha ni aibu ujue au usikie eti simu inakwisha pesa nipigie kha!!! Nitakupa kibuti hicho hujawahi kukiona aibuuuuu dume zima eti naomba vocha.

DA
Mimi nimeongelea kwa upande wangu tu, lakin sihalalishi mwanaume hawezi kuomba vocha
Hivi kwanini kwenye masuala ya pesa za mwanamke kutumiwa na mwanaume inakuwa ngumu sana???
Any reason plse???
 
mi sijajigamba babu,usinisemee........kama kwako kina ladha ya chumvi kwa wenzio chaitwa kitamu na uchumvi chumvi wake.....haipendezi kuomba vocha....labda kama una tatizo linaloeleweka !! tabia mbaya!!:washing:

Hahahaha chumvi inageuka tamu hii sayansi kiboko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom