Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Me sioni tatizo ikiwa ,kufuga kwao nywele hakupunguzi muda wako wa kuishi wala kipato chako ..wacha waishi wapendavyo
Mwanaume ni kunyoa upara tena unaupaka mafuta ya kula.Nimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Off
Kwa comment hii,umeitendea haki ID yako mkuu.Me sioni tatizo ikiwa ,kufuga kwao nywele hakupunguzi muda wako wa kuishi wala kipato chako ..wacha waishi wapendavyo
Anayefuga nywele mkuu.kwa sababu mimi binafsi nikinyoa ikifika asubuh napitisha maji,Brush SAFARI.lakn upande wa pili unamkuta Bw mkubwa ana midawa,mafuta ya kila aina na gharama nyingi,vitana,mirangi rangi mingi mpk keroAnayefuga nywele na anayekwenda kila mara Salon kukata nywele,yupi kati yao hapo anayepoteza muda wake? baron de montesque
..kwa muhusikaHuenda uko sahihi, lakini tujiulize, hayana faida kwa nani?...
Upo sahihi kabisa asew.excelent point....ndio maana nimeleta thread hii ili wanaopoteza muda kwa vitu ambavyo havina positive impact yoyote wapate angalau changamoto na mwanga.hayo ni mapokeo yako!,huenda ukawa ni ujinga ama welevu wako hivyo WEWE ni huyo na WENGINE ni WAO.
..ila usiwachukie mkuu ni kama kuwapa fundisho tuuNachukia sana!
Maamuzi yako tuu mkuu,Kwahiyo tusifuge Afro
Safi kabisa.yangu nimemalizaMe sioni tatizo ikiwa ,kufuga kwao nywele hakupunguzi muda wako wa kuishi wala kipato chako ..wacha waishi wapendavyo
Hahahaha naona unaniunga mkono.Mwanaume ni kunyoa upara tena unaupaka mafuta ya kula.
KabisaKwa comment hii,umeitendea haki ID yako mkuu.
Ngoja niendelee kufugaMaamuzi yako tuu mkuu,
Kabisa well said.Huo ni mtazamo wako, kuna watu wenye mihela ya kutisha ndo wafugaji wa kucha na sio jobless,
Go back to the field for assessment
Tupo pamoja mkuu,IV kufuga kucha kuna uhusiano gani mbaya ambao sio wa kawaida kweny jamii? Mim binafs nina kucha fulan IV, ni ndefu Kwa hiyo inaweza tokea nimesahau tu kuzikata af ikaonekana nimefuga.......so watu Kama watatu wamewai nishangaa Kwa nini mwanaume nina kucha ndefu.? Ikabidi nianze kufwatilia isije kuwa naona kawaida kumbe zinaashilia kitu fulan kibaya!!!
..hapana mkuu sijapondaKuna thread napanga kupita kimya, lakini najikuta nakoment.
Ukiamua kuponda mifumo ya maisha ya watu utajipa kazi sana.
Anyway, kama huna kazi si mbaya kujipa kazi za kuchunguza ya watu.
..sawa kabisa,Kufuga nywele kunaongeza kujiamini.