Mwanaume KAMILI

zimeyeyushwa na hii sredii au?
yan baada ya kugundua umwanaume kamili.
Haya maneno ya AshaDii hapa chini ndio yamemaliza hang over zote!! Ngoja nijitume kidume mie!!
 
Mpe sifa zake Canta asije akapewa kwingine ukashangaa anahamisha majeshi.
Hahahahah!
Lizzy hilo sio ishu kwangu kbs,
Nitajitahidi kumrudisha akikaza shingo najua hapo riziki imeisha,
Navisha mwingine jezi na kumpa nafasi ya mazoezi,
Akifuzu tu nasajili bila kujali garama na maisha yanaendelea tu lol!
 
Go and ask her...... atakuambia she is the luckiest lady in the world ... to be married to this wonderful hubby of her.... Yes ODM! Nazichapa biya, na haki na haja zake namtimizia kama kawaida....
we endelea tu kuzichapa biya...Umeona Smile kakuuza kwa Eliza Tegeta??
 
Go and ask her...... atakuambia she is the luckiest lady in the world ... to be married to this wonderful hubby of her.... Yes ODM! Nazichapa biya, na haki na haja zake namtimizia kama kawaida....
alaah kumbee,
kama bibi iz owkay with it then no pee i ve to agree she iz the one lol.
luckiest bibi on earth.
 
Lizzy asante kwa hayo
duh vigezo na masharti kuzingatiwa
 

AshaDii thank you so much for this useful post
Umesema yote ambayo i was supposed to say anyway
Ila asante sana
 
Mwanaume kamili anajua anapohitajika. .
Hujitahidi 'kuwepo' hata akichoka!

Fafanua plse



 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…