Mwanaume KAMILI

Huku mkoani jamaa ni sabuni, tunaoshea vyombo, kuogea na tunafulia. Jiwe moja huua zaidi ya ndege mmoja.
Tena ukiniletea imperial leather ninajipaka jioni baada ya kuoga ni manukato yale
umesahau na kupigia punyeto pia....
 
Mwanaume wa Dar amezoea kuogea imperial leather akikuta kipande cha jamaa bafuni anatoka na kuomba sabuni ya kuogea
hadi kujali ngozi zetu nalo limekuwa tatizo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ vumbi la dar bacteria nyingiiii tuacheni tu tuogee imperial
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mamaeee wakinga wasenyota sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…