Mwanaume kama una tabia hizi usioe mpaka uwe umebadilika

Mwanaume kama una tabia hizi usioe mpaka uwe umebadilika

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
MWANAUME KAMA UNA TABIA | SIFA HIZI, TAFADHALI ACHANA NA MASUALA YA NDOA | KUOA HADI PALE UTAKAPOAMUA KUKUBALIANA NA HALI HALISI

Ndoa si ya kila mtu Ndugu zangu, kama bado hujajiandaa kiakili, kimwili na kitabia.
Ukijiona Bado Una hizi Tabia hapa Chini, Basi Usioe | Usivute Jiko

🚩 Una hasira kali na huwezi kujidhibiti
Unatabia ya kupiga wanawake, au unaishi kwa makelele na vitisho. Hii ni hatari kwa afya ya mke na watoto kimwili na kiakili. Utajenga nyumba ya hofu, sio familia.

🚩 Unaamini mwanamke ni chombo cha starehe na kuzaa tu ..Huna heshima. Utamuona mke kama “object” badala ya partner.
Ndoa itakuwa mateso ya kihisia na kiakili kwake.

🚩 Huwezi kusikiliza au kuheshimu mawazo ya mke kwa sababu “ni mwanamke”
Huu ni udhalilishaji wa kijinsia. Hakutakuwa na mawasiliano yenye afya wala usawa.

🚩 Una Ego mbaya, huwezi kusema “samahani Am sorry”
Kama kuomba msamaha ni udhaifu kwako, bado hujakomaa.

🚩 Unaamini kazi za nyumbani ni za mwanamke tu
Mke wako ni human ana deserve kusaidiwa nayo ni love language. Akiwa mgonjwa au mjamzito, utamuacha ateseke?

🚩 Unaamini kuwa kitombi ,kuwa na wanawake wengi ni kawaida kwa mwanaume Kwamba wanaume wameumbwa hivyo Achana na ndoa .

🚩 We ni mvivu Utakuwa mzigo kwa mke na watoto.familia itateseka

🚩 Kama unaoa kwa sbabu tu ya sura ,shepu na ma-tacore usioe kwanza bado we ni mvulana subiri ukue kue

🚩 Una uraibu (ulevi, kamari, madawa)
Fedha zitaisha, heshima itaisha, familia itaumia kifedha na kihisia.

🚩 Huna huruma .. ndoa itakuwa mateso.

🚩 Una tabia ya controlling kupita kiasi/ Una wivu wa kupindukia usio na msingi Ukigeuza wivu kuwa upelelezi, vitisho hiyo sio ndoa, ni kifungo.

Kama una hizi sifa, KATAA NDOA bora usioe ili usiharibu maisha ya mwanamke.
Ndoa ni Usawa, Heshima na kujenga pamoja si KUDHALILISHA!

💪 Tafuta msaada au baki peke yako !
 
🫵KIDUME...

💔Punyeto | Kujichua | Masturbation Imeshakuathiri ipasavyo Na Umeshaacha ?

💪Sasa Unahitaji Muongozo Thabiti wa Kuanza Kujiimarisha na kuwa Kidume Shupavu | Mwanaume Rijali, Kiufupi Kurudi katika Hali yako ya Zamani..

👇MUONGOZO wako Haupishani sana na KIDUME PROGRAMU

1️⃣ KUACHA | STOP IT
  • Hii ni Hatua ya Kwanza Kabisa Kwako Kidume Kabla Hujaanza Process zingine
  • Kwasababu Utakuwa Unafanya Kazi Bure kufanya Mazoezi ya KEGEL huku bado unakula Nyeto, Wahenga Walisema ni Kutwanga Maji kwenye kinu
  • Kwahiyo, Hatua ya Kwanza ni Kuacha, ambapo inahusisha na Kuacha kuangalia Video za Ngono na Picha Chafu

2️⃣MAZOEZI YA KEGEL
  • Haya Unapaswa Kuyafanya Asubuhi na Jioni. AU Mara Moja kwa Siku
  • Tumia Dakika 15 hadi 30 kwa siku
  • Hayarefushi Uume wala Kunenepesha
  • Yanakupa Uzoefu wa Tendo
  • Yatakusaidia Kukupa Pumzi ya Kutosha
  • Yanaruhusu Damu Kufika kwa wingi kwenye mishipa Ya Uume.
  • Yanakufanya Uwe Imara Wakati wote ( lower body )
  • Fanya Kila Siku tu
  • Hayana Mwisho

3️⃣CHAKULA
  • Hapa sana sana jitahidi uache Vyakula | Vitu vifuatavyo
  • Pombe, Sigara
  • Sukari na Mafuta Mengi
  • Soda na Drink Energy
  • Vyakula vya Viwandani VISIVYO na Ulazima
✅Upo Muongozo Wa Chakula Unaotumwa Kila siku Kwenye Group Kwa ajili Yako Kidume
- Uchukue na Upangilie Kulingana na Bajeti | Uwezo wako wa Kiuchumi

4️⃣TIBALISHE / DAWA
  • Kwa upande Wetu Tuna Tibalishe | Dawa Iliyotengenezwa kwa Mitishamba Asilia, kutoka Kanda ya Ziwa
  • Ambayo Inakwenda Kutibu Moja kwa moja Tatizo La Upungufu wa nguvu za kiume
  • ipo Katika Mfumo wa Unga
  • Dozi yake ni Mara Moja Tu
  • Sio Booster

🫰SIRI NI HII | SECRET
1. Mazoezi na Vyakula Vitakusaidia Kupona Endapo Ukivifuata kwa Mfululizo na Bila Kuacha, Yaani Kila Siku Ndio IWE Lifestyle Yako Kidume

2. Ukitaka Matokeo ya Haraka Zaidi, Zingatia Vyote Hapo Juu ! ILA kama Hauna Haraka Basi Anza na Kimojawapo Then Kingine Kifuate
 
haya yote yanapita ni kujilisha upepo tu
 
Back
Top Bottom