Mwanaume! Kama ni wewe ungefanyaje?

Mwanaume! Kama ni wewe ungefanyaje?

Ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni

Yaani thamani ya mke wa mtu haitoshi hata mshahara wa mwezi??

Hivi wewe ukipewa nyumba ya M80 unauza maini ya Paw?

Hivi laki 7 nayo ni pesa eh? Inatosha kunywa supu ngapi, bia ngapi na mileage kiasi gani?
 
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?

Niliforwardiwa SMS yenye maelezo haya 1 month ago! Hakuna jipya hapo, ila ni mawazo ya kufikirika sana, naomba nipite tu khaaaa! ptuuuuu!
 
Hivi laki 7 nayo ni pesa eh? Inatosha kunywa supu ngapi, bia ngapi na mileage kiasi gani?

Unashangaa mshenga? Ati wanasema ' ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno', never get suprised
 
kwa wanaume wa sasa watazingoja hizo 80m
sio wa sasa hata wa zamani.
1990s Kuna OCD mmoja wa Tanga alimfumania mke wake na tajiri mmoja(alikuwa na mabasi fulani maarufu), tajiri akaomba msamaha akampa OCD kigari fulani hivi, OCD akachukua akatulia. Siku nyingine akamfumania tena, OCD akawa mkali akapewa gari nyingine, OCD akatafakari akaona akubali kuichukua gari ya pili, baada ya hapo akamtaliki mke akabaki na magari yake mawili akaoa mke mwingine.
 
sio wa sasa hata wa zamani.
1990s Kuna OCD mmoja wa Tanga alimfumania mke wake na tajiri mmoja(alikuwa na mabasi fulani maarufu), tajiri akaomba msamaha akampa OCD kigari fulani hivi, OCD akachukua akatulia. Siku nyingine akamfumania tena, OCD akawa mkali akapewa gari nyingine, OCD akatafakari akaona akubali kuichukua gari ya pili, baada ya hapo akamtaliki mke akabaki na magari yake mawili akaoa mke mwingine.

haaaahaaa ama kweli huyo alikua nzombii lkn simlaum sana umasikini wake ndo ulimpelekea kufanya hivyo,na hata hivyo wasasa wamezidi kwa kudhamini ela kuliko utu
 
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?

Unampa talaka aende zake akatanue na huyo kidosho wake. Manake ujue hapo ameshakuchoka.
 
Ina maana walikuwa wanaongea kwa kutimia vipaza sauti?
 
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?

Loooh! Mbona umekuja kijanja yaani full MIZENGWE ya Jumapili iliyopita ITV, ila nawe embu shiriki.
 
Umepewa taarifa kuwa mkeo wa ndoa kakaa na hawara yake bar, ile unafika pande zile unamsikia hawara yake akimwambia mkeo "beby chukua hizi laki saba kampe mumeo mwambie kesho ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupia tukutane nikupe milioni 80 umpatie afanye biashara ili awe bize asitusumbue baby wangu" Je! kama ndio wewe utaanzisha mtiti au utazisubiri hizo milioni 80?

Mme wangu ni mangi nimemvutia picha hizo hela zingemtoaje udenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom