safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,164
- 15,839
Utaona mwanaume mwenye hwezo wa kimali anafanya starehe sana,wanawake anabadilisha,hamueshimu mkewe kila aina ya starehe anafanya yeye hataki lolote,hawazi maendeleo.
Akifulia sasa : atampenda mkewe,atakuwa na mipango mingi ya maendeleo,ataheshimu familia na kuwa muaminifu,hakuna tena kubadilisha wanawake kwa sababu kipato kimepotea.
WANAWAKE SASA
akiwa na kipato kizuri : ataheshimu ndoa yake,atafurahia maisha,ataheshimu familia yake na kuitunza,hababaishwi na mwanaume yeyote,wanaume watamuongopa kujipendekeza.
Akiwa amefulia sasa hana kipato : ataanza kujirahishisha,tamaa zitakuwa mbele,wanaume wata take advantage kumtongoza,ataanza kuchepuka,ataanza kudharau familia na mumewe.
SOLUTION : kama mume una kipato ebu muachie mkeo yeye awe nazo awe na pesa nyingi awe tajiri wewe kuwa kawaida kuepusha tamaa zisikunyemelee,na kwa mkeo pia atakuwa hatembelewi na tamaa na majaribu ya aina hiyo mtaishi kwa amani sana.
Sio kwa wote,chukulia poa.
Wanaume na wanawake tupo tofauti sana.
Akifulia sasa : atampenda mkewe,atakuwa na mipango mingi ya maendeleo,ataheshimu familia na kuwa muaminifu,hakuna tena kubadilisha wanawake kwa sababu kipato kimepotea.
WANAWAKE SASA
akiwa na kipato kizuri : ataheshimu ndoa yake,atafurahia maisha,ataheshimu familia yake na kuitunza,hababaishwi na mwanaume yeyote,wanaume watamuongopa kujipendekeza.
Akiwa amefulia sasa hana kipato : ataanza kujirahishisha,tamaa zitakuwa mbele,wanaume wata take advantage kumtongoza,ataanza kuchepuka,ataanza kudharau familia na mumewe.
SOLUTION : kama mume una kipato ebu muachie mkeo yeye awe nazo awe na pesa nyingi awe tajiri wewe kuwa kawaida kuepusha tamaa zisikunyemelee,na kwa mkeo pia atakuwa hatembelewi na tamaa na majaribu ya aina hiyo mtaishi kwa amani sana.
Sio kwa wote,chukulia poa.
Wanaume na wanawake tupo tofauti sana.