Wote tuseme Rip kijana mengiWell huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
Well said sio kw zalau hiyo, mwanaume hazeek bana kaz kaz,Hawa wadada wa siku hizi wanapenda competition, na ndio maana ndoa zinawashinda.
Na kuanza kuangalia video za Jey Shetty!Pambana na hali yako mkuu, tuache na ujana wetu.
Wanasema, demu akipigwa chini hugeuka motivational speaker!!!
Kutokuzeeka hakuhusiani na hayo unayosema. Acha tamaa ya mali bibie, mwanaume hazeeki kwa sababu ya mambo mengi, mojawapo ni vumbi la kongo.Well huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
Karibu tuenjoy uzee achana hawa vijana Wakumbafu kabisa!So ume"shi"tuka! Shituka huku anachakarika, lasivyo enjoy uzee.
Wanaume wenye helaha ha ha na nyie mtafute nini mkuu?
Jitu limestaafu linazaa na kabinti kisa tuhela twa mafao after 10 years linakufa mtoto na mama wakabaki wametoa macho
Mwanamke ukifika 30 yrs bhaas tena.....mwanaume at 30 ndiyo tunaliamsha dude!Pole Sana, kuzeeka kunaumaaaa![]()
Mkuu kwa hiyo mimi baasi tena nifanye tu mambo mengine?Mwanamke ukifika 30 yrs bhaas tena.....mwanaume at 30 ndiyo tunaliamsha dude!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utakuwa ndio wewe teh sio kwa povu hilo
Dah, huyo baharia uliokuwa unamlea ukamchoka ana tabu sana. Laiti angejua 🤣🤣🤣Well huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
Seems alikuwa anamlelea mchaga mzembe, sasa kachoka kubeba mzigo anakuja na kila slogan za kumtia vijembe 🤣🤣🤣 anatafta justification ya kumuacha tu.Vipi ulimpata mwanaume aliyechangamka baada ya kumpiga chini yule mchaga??