"Mwanaume hazeeki"

"Mwanaume hazeeki"

Well huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.

So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.

Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?

Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
pole dada wamesha kut...mba...na utaendelea ku..ombwa na hao hao..kuwa mpole
 
Hii kauli uliyoambiwa it seem imekushitua sana ila pole.
 
Well huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.

So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.

Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?

Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
Unawaza pesa na assets za wanaume tu, an u even have the guts to write in public about it.. ama kweli dunia ina elements nyingi
 
Pale unapozeeka ukiwa in yo 20's
Angejua stress anayopata mwanaume anaposhindwa kusuza rungu haifikii hata nusu ya hayo anayoyasema, asingefananisha kabisa uzee na vitu hivyo.
Imagine upo kama hao alowataja, lakini hawana "connection"😳😳😳
 

Nimecheka, kuna mbaba sijui nimuite mbabu alimpeleka mkewe ambae ni kama mjukuu wake ustawi wa jamii eti kisa hamhudumii.
Hamhudumii kiaje? Kipesa au yale mahitaji ya msingi ya mume?
 
Haha, hivi ni jinsi gani mtu anazeeka akiwa 20's aisee???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom