Brother Mshana karibu tupige K vant hapa tupunguze mawazo maana connection zote zimebumahawana koneksheni....
no connection... Hakuna mawasiliano
too bad.... Naogopa uzee
![]()



Brother Mshana karibu tupige K vant hapa tupunguze mawazo maana connection zote zimebumahawana koneksheni....
no connection... Hakuna mawasiliano
too bad.... Naogopa uzee
![]()



pole dada wamesha kut...mba...na utaendelea ku..ombwa na hao hao..kuwa mpoleWell huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.
Unawaza pesa na assets za wanaume tu, an u even have the guts to write in public about it.. ama kweli dunia ina elements nyingiWell huu ni msemo unaopenda sana kutumiwa na wanaume na baadhi ya wanawake.
So let's keep records clear, huu msemo unatumika kwa wanaume kama Mengi, Mo Dewji, Bakhresa and the like. Nyie wenzangu na mie don't even think about that, mnazeeka my friends tena mnazeeka vibaya sana.
Hivi huna hata assets za maana, hauna uwekezaji wowote wa maana ulionao wa kuacha legacy and you have the guts kusema "mwanaume hazeeki"! My friends thiiiiiiiink. Au huwa mnafikiri kuwa mwanaume ni kumwaga mbegu tu?
Hivyo sasa, ukitaka usizeeke anza sasa kutengeneza legacy(if you still have time and balls though) kwa wale ambao mshazeeka ikiwa bado mko 20's, 30's or 40's basi enjoy uzee while it still lasts.

Jiwe gizani ukisikia yalaaa jua limefika destination







Msalimie agatanyuzi kama hizi huwa sichangii kabisaa.![]()
Angejua stress anayopata mwanaume anaposhindwa kusuza rungu haifikii hata nusu ya hayo anayoyasema, asingefananisha kabisa uzee na vitu hivyo.
Imagine upo kama hao alowataja, lakini hawana "connection"😳😳😳
Kigori usinifanyie hivyo, naomba tuyazungumze 😥😥Msalimie agata
Acha zote zibume lakini sio hii ya msonobariBrother Mshana karibu tupige K vant hapa tupunguze mawazo maana connection zote zimebuma![]()




ha ha ha na nyie mtafute nini mkuu?Kaka Zetu Tafuteni Pesa Msiitwe wazee