"Mwanaume hazeeki"

"Mwanaume hazeeki"

Mwanamke ukifika 30 yrs bhaas tena.....mwanaume at 30 ndiyo tunaliamsha dude!
Nakuelewa, pole sana. Sasa utajisifia nini zaidi ya hilo ikiwa uume pekee ndio asset unayomiliki😂
 
mwanaume kweli hazeeki,ukiwa nacho kitu unakula hata katoto ka miaka 20,nyie si huwa mnaangalia hela tu kwa yeyote mwenye nacho mnampanulia najivunia kuwa mwanaunaume kuliko kitu kingine chochote hizi dudu tulizonazo ndio zinatufanya tuyafurahie maisha na hazizeeki hata tukifika a hundred years
 
No legacy without 'active fruitful' manH**D.
 
Tunazeeka wapi wakati nikiwa na miaka 60 ninapesa lazima univulie chupi tofauti na wewe ukiwa na 40 basi huna jipya
 
Hawa au Eva ni mwanamke wa kwanza alieweza kuwasliana na shetani mubashara na kutekeleza yale matakwa yote ya shetan ambapo baada ya kula lile tunda akaona akampe na mumewe ilhali hapohapo mume lile tunda hakuwah kula kwasababu aliagzwa na Mungu asile lile tunda.Kwahyo kumbe ukiona ndoa inavunjika ujue kwa vyovyote mwanamke ndo tatzo.mwanaume kapewa vipawa vingi ambavyo hata mwanamke aliyetoka katka ubavu wa mwanaume hajawah kuweza kuvtafsiri,ndio mana mwanaume anaweza kuoa mwanamke yeyote ila mwanamke kuolewa na mwanaume yeyote haitokuja kutokea.
Note Be:Jua kwamba wanawake huwa hawardhiki wakipata magari,majumba,magari,pesa,sex na mkate wa kilasiku.
We mwanamke kama unabsha, hivo vyote edeni pale vlikuwepo asa Hawa alienda kwa shetan kufuata nin?
 
Hapo umeongea mambo mengi kwa wakati mmoja. Umevuruga,vuruga tu. Lakini nije kwako kihivi
1. Umesema wanaume hawazeeki ni kama mengi,azam na mo. Lakini vipi wengine? Wewe unahisi matajiri wote wanajitangaza?
2. Umesema wanaume wasiozeeka ni wale waliowekeza. Umewataja,lakini umejisifia kwamba babaako aliwekeza wewe na kakaako mtakula miaka mingi. Katika hao uliowataja,mengi,mo babaako ni yupi?
3. Umesema wanaume watafute halafu uje utumie wewe kwa kujisifia?
4. Mbona huyo kakaako anatumia walivyotafuta wengine?
5. Mwisho wewe kabinti ka juzi,hamjui hata mali zinatafutweje? Hapo hujui hata huyo babaako uliuza nini ndio akapata hizo mali. Zaidi ya yote usije ukajidanganya kwamba kuna mali ambayo haishi hasa zikiwakuta nyie watumiaji tu,wapenda sifa. Uliza Mabutu seseseko kuku wa zabanga,aliwekeza nini? Na nini kimebaki?. Hakuna utajiri unaodumu hata uwekeze kwa mawe na dhahabu,hasa zikiwakuta nyie wapenda sifa
 
It seems umetumika sana bi mdashi kuja kushtuka jua linazama poole,by the way kunywa maji upunguze hasira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom