The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,531
- 1,735
kumtumia demu nauli ,Habari wadau, moja kwa moja kwenye mada, kuna mambo mengi ambayo mwanaume haruhusiwi kufanya kutokana na taratibu za kabila, dini, familia, maumbile au jamii aliyopo.
Moja kati ya mambo ambayo hayaruhusiwi ni kulala bila nguo (yaani kama alivyozaliwa) hata baada ya kushiriki tendo na mwenza wake. Hii ni kwasababu ya vitu mbalimbali;
1. Mwanaume anapaswa kuwa mlinzi wa familia hivyo chochote kitakachotokea ambacho kinahatarisha usalama wa familia anapaswa kuwa wakwanza kutoka ili kuangalia au kubambana. Hivyo anapaswa kuwa tayari nyakati zote kwani anaweza asiwe na muda wa kujisitiri.
2. Kunapotokea hatari kwa jirani mfano hatari ya moto au kuvamiwa na mnyama mwanaume anapaswa kujumuika na wenzake ili kupambana katika kuzima moto au kumpambana na myama huyo hivyo anapaswa kuwa tayari.
3. Aibu aliyonayo mwanaume humfanya asiwe na amani ya kulala bila nguo (hata na boxer tu).
Mdau unadhani mambo gani mengine ambayo mwanaume haruhusiwi/ hapaswi kufanya kwa mtazamo wako?
Wadada/wanawake muwe huru kuchangia.
Sent using Jamii Forums mobile app