Gene da beauty
JF-Expert Member
- Apr 18, 2017
- 446
- 830
Hilo booty je?!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nyuma ya keyboard kila KE cyo fake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na mkopo juu,tena mkopo wenye riba,na anamwambiaKuna mwanamke hata ukisema uamke leo umpe milioni ataenda kununua mawigi na kokoko avae
Hakuna asie kua na wivu hata mie nna wivu wakuchukuliwa mume wangu ila tuna heshimiana na kuaminiana....Mmeo ana wivu wa kugongewa, hii inategemea lakini kama wewe sio mtu wa ku entertain wapuuzi na kucheka cheka nao sijui chattings wivu hauwezi kuwa kero ila kama unat tabia za kijinga ni ngumu kuwa na amani nae!
Kama mna heshimiana ni freshi, means vitu asivyopenda hutofanya na yeye asifanye ambayo hupendi!Hakuna asie kua na wivu hata mie nna wivu wakuchukuliwa mume wangu ila tuna heshimiana na kuaminiana....
Tunajitahidi iwe hivyo ila siunajua wengine tabia zao kuziwacha sio rahisi lakini Alhamdulillah tunaendelea vizuri..Kama mna heshimiana ni freshi, means vitu asivyopenda hutofanya na yeye asifanye ambayo hupendi!
Kwani mwanaume katoa wapi mradi?Unapoandika hili hakikisha mpenzi wako au mke wako umempatia mradi wowote, sio tu kuandika na wakati mpenzi wako huna hata cha kumuwezesha.
Waaooh mahondaw ni dada yangu nini, maana hiyo okolebhuya imenikoshaje?
Kweli kabisaUpuzi ..... na mkifa wote inakuaje? be a Man, tafuta pesa, mwisho wa kazi ..... kama atafanya kazi au atalea watoto doesn't matter, a man need to win money for the family
Siku ukiwa kazini ukapigiwa simu kuwa mkeo kamuingiza kidume chumbani kwenu na anapigwa miti kwenye kitanda chako ndio utajua kuwa maisha ya ndoa hayana formula hata kidogo.Siku ukisikia analiwa na boss wake au wafanyabiashara wenzake ndio utajua nini maana ya mama wa nyumbani..ila kiufupi suala la mapenzi na mahusiano ni pasua kichwa mana hayanaga formulas
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha Ubhujilani antuliyiWaaooh mahondaw ni dada yangu nini, maana hiyo okolebhuya imenikoshaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana mme amesha ambiwa ata kula kwa jasho na mwana mke ata zaa kwa uchungu sasa una taka nini Acha uwoga wa maishaNdugu,
Nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.
Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela. Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.
Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto? Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba, lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.
Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.
Mkuu wanawake tuna wafosi tu kuhangaikia maisha ila jukumu lao kuu ni kutunza familia na kulea watoto..kufa ni mipango ya mwenyezi..Siku ukiwa kazini ukapigiwa simu kuwa mkeo kamuingiza kidume chumbani kwenu na anapigwa miti kwenye kitanda chako ndio utajua kuwa maisha ya ndoa hayana formula hata kidogo.
Muhimu ni kuhakikisha mke anaingiza kipato ili siku ukitangulia aweze kujisimamia.
Sijasema kumtegemea kwa kipato chake, nimesema kumfanya awajibike ili Mungu akiamua yake aweze kujimudu.Mkuu wanawake tuna wafosi tu kuhangaikia maisha ila jukumu lao kuu ni kutunza familia na kulea watoto..kufa ni mipango ya mwenyezi..
kuanza kutegemea mwanamke aingize kipato cha familia huo ni udhaifu mkubwa..your not a man enough for the family.
Sent using Jamii Forums mobile app