Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,661
Mkuu umesema kwel lakin nasikitika kichwa cha habari na yaliyomo ni tofaut.Ndugu,
Nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.
Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela. Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.
Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto? Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba, lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.
Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.
Sent using Jamii Forums mobile app