Mwanaume epuka mwanamke maskini

Mwanaume epuka mwanamke maskini

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Ndugu,

Nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.

Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela. Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.

Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto? Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba, lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.

Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.
 
Ndugu nawashauri kwa wale ambao mnategemea kua na mahusiano ya kudumu.Epuka mwanamke mvivu anayeshinda anaangalia TV na kuchati.Mwanamke anatakiwa awe na vijimiradi au vyanzo vya hela.Kumbuka kuna kifo na hatujui atakaetangulia.Je mwanaume ukatangulia ni nani atawalea hao watoto?.Japo kuna mila zingine zinadai mwanamke pambo la nyumba,lakini kwa sasa zimepitwa na wakati.Mwanaume epuka mwanamke goal keeper.

Upuzi ..... na mkifa wote inakuaje? be a Man, tafuta pesa, mwisho wa kazi ..... kama atafanya kazi au atalea watoto doesn't matter, a man need to win money for the family
 
Mwanaume uliumbiwa kuhangaika we tafuta hela tu hiyo ndio kazi yako ili mkeo aishi kama malkia
 
Hahaha
Mwanamke hata kama ana kazi utamhudumia tuu..
 
Jamaa yangu tulimshauri asimfungulie bar mke wake awe anasimamia akatubeza. Mbona kaifunga.

Katoka kazini kampitia mkewe, kufika pale si akakuta wanaume washapata vyombo vimewakolea sasa sio kumshikashika matako, manyonyo mkewe, kaona isiwe taabu. Kaifunga
 
Back
Top Bottom