Mwanaume elewa kuchapiwa ni siri ya ndani

Mwanaume elewa kuchapiwa ni siri ya ndani

Nakazia, Mwanaume elewa kuchapiwa ni muhim na ni lazima na hakukwepeki na Kunauma haswa.
 
Kwa Wanaume wote; kuchapiwa ni Siri Yako!

Kama kuna ushauri ambao sikushauri ukauombe kwa wanaume wenzako, ni huu wa kuchapiwa.

Nakuhakikishia utaishia kuanikwa hadharani na zaidi utabezwa tu na kuchekwa.

Wewe ukichapiwa tafuta kwanza tafuta utulivu, ikiwezekana nenda mbali kwanza upate mazingira tulivu ya kuweza kutafakari. Kisha tafakari sababu zilizopelekea au zinazoweza kupelekea kuchapiwa ni zipi? Halafu chukua hatua za kuzishughulikia sababu hizo au hata samehe kama una kifua. Ikiwezekana kubaliana na Hali.
Utakuwa ni mwanaume wa Dar mnayekula supu ya utumbo wa kuku, miguu ya kuku na kichwa cha kuku.
Mwanaume mzima unajisifia kuchapiwani siri ya ndani😁😁😁😁
 
Inasikitisha...

Wanawake wafahamu tu kwamba sisi wanaume tuna wivu uliopitiliza... Hatuwezi kuvumilia maumivu ya kuchapiwa..

Sijui kwanini mwanamke unaempenda saaanaa ndipo unaweza kumchukia kuliko adui yako ambae ni mshikaji wako alikutendea ubaya sana.. upendo unatenganishwa na chuki kwa mstari mdogo sana..
 
Back
Top Bottom