BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,332
Utandawazi unachangia sana Mkuu, na waswahili wanasema muonja asali haonji mara moja hutaka kumaliza kibuyu chote cha asali.
Mkuu BAK,yaani hatari kabisa,kuharibu maumbile mbona siku hizi hakuna alie salama,yaani valve zote kwishney,ni full matope maana ile ni tigo pesa,mambo ya voda fasta ni watoto wa primary school tu ndio wanatumia.