mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Habari JF..
Katika maisha kuna stages kadhaa hadi kufikia uzee kadri Mungu atakavyokupa maisha marefu...
Ivyo ni jukumu letu kama wanadamu kujipanga ili kuvuka kila steji..
Wazazi wamekua makini kuwasaidia vijana wao tangu kuzitafuta mimba zao;kuwazaa kuwalea na kuwasomesha...
Kwa wanaume unakuta kijana amesoma na amemaliza vzur stej zote na ana kazi nzuri...
Swali linakuja pale unakuta kijana amevuka miaka 30 na bado hajafikiria kuwa na mwenza wa maisha...kumekua na ongezeko kubwa sana la wanaume wasiotaka kuoa au akioa haoi kwa wakati muafaka...let's say anaoa kwenye 40's bila sababu zozote za msingi...hii inachangia kuja kuzaa wajukuu badala ya watoto;wanashindwa kutimiza majukum muhmu kwa watoto wao na ukizingatia magonjwa ya siku izi by 50 mzazi anaondoka...
Nawakumbusha vijana kujipanga mapema sio tu kikaz na kiuchumi bali pia na kifamilia...the earlier the better...
Katika maisha kuna stages kadhaa hadi kufikia uzee kadri Mungu atakavyokupa maisha marefu...
Ivyo ni jukumu letu kama wanadamu kujipanga ili kuvuka kila steji..
Wazazi wamekua makini kuwasaidia vijana wao tangu kuzitafuta mimba zao;kuwazaa kuwalea na kuwasomesha...
Kwa wanaume unakuta kijana amesoma na amemaliza vzur stej zote na ana kazi nzuri...
Swali linakuja pale unakuta kijana amevuka miaka 30 na bado hajafikiria kuwa na mwenza wa maisha...kumekua na ongezeko kubwa sana la wanaume wasiotaka kuoa au akioa haoi kwa wakati muafaka...let's say anaoa kwenye 40's bila sababu zozote za msingi...hii inachangia kuja kuzaa wajukuu badala ya watoto;wanashindwa kutimiza majukum muhmu kwa watoto wao na ukizingatia magonjwa ya siku izi by 50 mzazi anaondoka...
Nawakumbusha vijana kujipanga mapema sio tu kikaz na kiuchumi bali pia na kifamilia...the earlier the better...