Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
1WAKORINTHO 7-38 MAANDIKO YANASEMA HIVI Kwa maneno mengine:yule anayeamua kuoa anafanya vema,naye anayeamua kutooa anafanya vema zaidi.
mtu kama hataki kuoa asilazimishwe.......kwani ni lazima....? hata maandiko yamesema kama hujisikii potezea.....aaaaa.......