😁😁😀😀🙄😳, hujui kwanini tena??!. Ubinafsi tu, hapo deal zake zikitick ataanza kuzengea hela zake tena. Maisha huwa yana panda na kushuka, so wakati wa kushuka wanawake wengi hudraw conclusion kwamba ndio tamati hapo ndio ubinafsi, matusi, dharau hushamiri sijui huwa mnapanic nini hasa.Ila pesa ya mwanamke huwa ngumu kutoka sijui kwann
1. Amtimue huyo jamaa hapo kwake. Amrushie hizo jinzi na shangazi kaja lake hapo nje kesho asubuhi na mapema.Katika uhusiano wao huyo kaka hata akifanikiwa hajawai kumpa hata sh 10., wala zawadi yoyote.
Hua mnatoa Ila kwa mwanaume mnaempenda tu, sio vinginevyo ukiona mwanamke anamminyia mwanaume ni sawa na kumnyima chakula huyo hafai ipo siku utakufa mahututi anakuona na pesa anayo au utalazwa hospital na asije kukuangalia baada ya kuugua ghafla au kupatwa na ajali mbayaIla pesa ya mwanamke huwa ngumu kutoka sijui kwann
We mtimue . na mbunye usimpeHabari za mchana wana jamvi, mimi naomba kumuombea ushauri rafiki yangu.
Rafiki ana boyfriend ambaye wamekuwa pamoja kwa muda sasa, huyo boyfriend alikua anafanya biashara zake ila ni wale wanaume wachoyo hata apate nini hakuwahi kumpa girlfriend wake, sasa mwaka jana mwishoni huyo kaka biashara zikamuendea vibaya, yani amefulia vibaya, ikabidi ahamie kwa bidada, anakula anakunywa analala anaangalia. Nyumba ila hachangiii hata senti tano katika jambo lolote kwa sababu yupo busy anaskilizia mishe zake.
Mind you, huyo mkaka ana migugo na ardhi ambazo anamiliki, sasa girlfriend akamshauri auze japo mbuzi wake apate mtaji afanye chochote cha kumuongizia hela, yule kaka anakataa anasema mishe zake zitakaa sawa mwezi wa nne.
Sasa dhumuni la hii thread ni kwamba katika kipindi chote huyo kaka hakuwahi kumuomba hela bi dada, ana car wash yake inayomuingizia visenti hapa mjini. Hivi karibuni huyo kaka akamuomba elfu 10, huyo dada hakumpa kwa kisingizio kwamba ukimpa hela mwanaume unamjengea tabia, na zaidi ya yote anataka jamaa ajipange apambane mwenyewe, maana most of the time anashinda nyumbani na vijiweni tu. Akisubiria dili lake na april, sasa sijui kipindi hichi cha mpito ndio kumpa mzigo dada wa watu.
Sasa jamaa ameanza kulalamika kisa ananyimwa hela. Je mngempa ushauri gani huyo dada?
Aisee. Mkuu umefunguka mazimaBidada tuwasiliane 0677 730 628 achana na huyo boya, mbinafsi
Pesa ya mwanamke ngumu kutoka✅✅Huyo dada mbinafsi ,kama kweli dili za boyfriend zikikaa sawa yeye hataomba hizo pesa?elfu kumi tu anabania aiseee angempa ili aone kama ataombwa kila siku. Ila pesa ya mwanamke huwa ngumu kutoka sijui kwann
Mkuu usiwachukie kiasi hiki, pamoja na changamoto zao wanayo mema pia.Mimi gheto langu hawawezi kuingia siyapendi haya majitu Mimi nayachukia Sana machafu yamejaa mikosi tu yanabidi yagongewe vichochoroni usiyalete kwako yanauchawi na mikosi
Mwamba kawasagia kunguni yaan wanawake wote anawaona kama mashetani duuh😲Mkuu usiwachukie kiasi hiki, pamoja na changamoto zao wanayo mema pia.
Habari za mchana wana jamvi, mimi naomba kumuombea ushauri rafiki yangu.
Rafiki ana boyfriend ambaye wamekuwa pamoja kwa muda sasa, huyo boyfriend alikua anafanya biashara zake ila ni wale wanaume wachoyo hata apate nini hakuwahi kumpa girlfriend wake, sasa mwaka jana mwishoni huyo kaka biashara zikamuendea vibaya, yani amefulia vibaya, ikabidi ahamie kwa bidada, anakula anakunywa analala anaangalia. Nyumba ila hachangiii hata senti tano katika jambo lolote kwa sababu yupo busy anaskilizia mishe zake.
Mind you, huyo mkaka ana migugo na ardhi ambazo anamiliki, sasa girlfriend akamshauri auze japo mbuzi wake apate mtaji afanye chochote cha kumuongizia hela, yule kaka anakataa anasema mishe zake zitakaa sawa mwezi wa nne.
Sasa dhumuni la hii thread ni kwamba katika kipindi chote huyo kaka hakuwahi kumuomba hela bi dada, ana car wash yake inayomuingizia visenti hapa mjini. Hivi karibuni huyo kaka akamuomba elfu 10, huyo dada hakumpa kwa kisingizio kwamba ukimpa hela mwanaume unamjengea tabia, na zaidi ya yote anataka jamaa ajipange apambane mwenyewe, maana most of the time anashinda nyumbani na vijiweni tu. Akisubiria dili lake na april, sasa sijui kipindi hichi cha mpito ndio kumpa mzigo dada wa watu.
Sasa jamaa ameanza kulalamika kisa ananyimwa hela. Je mngempa ushauri gani huyo dada?
Unamuuliza Nani hayo maswali ya kijinga?Mnduku kweli wewe na mama ako unamchukia?
Wanawake njaa Sana eti unamuita mtu mzigo ndo maana mnadharauliwa Sana na mnajiuza Hadi kwa buku huku mtaani
Biafsi nawachukia wanawake haya majitu hayanaga utu kabisa
Huyo mwannaume ni boya siku si nyingi ataliwa tigo mjini hapaHabari za mchana wana jamvi, mimi naomba kumuombea ushauri rafiki yangu.
Rafiki ana boyfriend ambaye wamekuwa pamoja kwa muda sasa, huyo boyfriend alikua anafanya biashara zake ila ni wale wanaume wachoyo hata apate nini hakuwahi kumpa girlfriend wake, sasa mwaka jana mwishoni huyo kaka biashara zikamuendea vibaya, yani amefulia vibaya, ikabidi ahamie kwa bidada, anakula anakunywa analala anaangalia. Nyumba ila hachangiii hata senti tano katika jambo lolote kwa sababu yupo busy anaskilizia mishe zake.
Mind you, huyo mkaka ana migugo na ardhi ambazo anamiliki, sasa girlfriend akamshauri auze japo mbuzi wake apate mtaji afanye chochote cha kumuongizia hela, yule kaka anakataa anasema mishe zake zitakaa sawa mwezi wa nne.
Sasa dhumuni la hii thread ni kwamba katika kipindi chote huyo kaka hakuwahi kumuomba hela bi dada, ana car wash yake inayomuingizia visenti hapa mjini. Hivi karibuni huyo kaka akamuomba elfu 10, huyo dada hakumpa kwa kisingizio kwamba ukimpa hela mwanaume unamjengea tabia, na zaidi ya yote anataka jamaa ajipange apambane mwenyewe, maana most of the time anashinda nyumbani na vijiweni tu. Akisubiria dili lake na april, sasa sijui kipindi hichi cha mpito ndio kumpa mzigo dada wa watu.
Sasa jamaa ameanza kulalamika kisa ananyimwa hela. Je mngempa ushauri gani huyo dada?
Wanawake wanawapenda watu Kama nyie ambao mmeshachezewa topeHuyo mwannaume ni boya siku si nyingi ataliwa tigo mjini hapa
Pumbavu sana nyie marioo ndio mnaluwa mjini dume zima unataka kulelewa kmmmkWanawake wanawapenda watu Kama nyie ambao mmeshachezewa tope
Utajua Mwenyewe na tope lakoPumbavu sana nyie marioo ndio mnaluwa mjini dume zima unataka kulelewa kmmmk
NaamAisee. Mkuu umefunguka mazima
Hahaha mkuuWanawake njaa Sana eti unamuita mtu mzigo ndo maana mnadharauliwa Sana na mnajiuza Hadi kwa buku huku mtaani
Biafsi nawachukia wanawake haya majitu hayanaga utu kabisa