- Thread starter
- #21
asante kwa maombi yako dear.Mungu atakupa dada ansila, na tena atakutumia msaada toka patakatifu pake ma dia
asante kwa maombi yako dear.Mungu atakupa dada ansila, na tena atakutumia msaada toka patakatifu pake ma dia
nashukuru sana.baada ya kusoma hii thread nimehisi wewe ni mtu makini sana,Mungu akutangulie ukutane na haja yako.Jf members na jamii kwa ujumla inapaswa iige maamuzi kama yako..
thanksMwenyezi Mungu akujalie uweze kumpata mtakayeweza kuendesha maisha yenu kwa amani na upendo. Kimsingi maambukizi ya VVU ni kitu chaweza kumtokea mtu yoyote. All the best.
asante nimekutumia pm.Dada Mungu ni mkubwa sana atakuongoza kumpata mwenza wako Dear nimekupenda ghafla mpendwa.........
Ukitaka mengi ni PM dear
uzi huu umenionyesha kwamba kumbe watu huku love connect wanafanyaga vibweka tuu lakini deep down ni binadamu.