Mwanaume anaeishi na VVU.

Mwenyezi Mungu akujalie uweze kumpata mtakayeweza kuendesha maisha yenu kwa amani na upendo. Kimsingi maambukizi ya VVU ni kitu chaweza kumtokea mtu yoyote. All the best.
 
Dada Mungu ni mkubwa sana atakuongoza kumpata mwenza wako Dear nimekupenda ghafla mpendwa.........

Ukitaka mengi ni PM dear
 
uzi huu umenionyesha kwamba kumbe watu huku love connect wanafanyaga vibweka tuu lakini deep down ni binadamu.
 
Kwani what if mimi mzima nikitaka kuwa na wewe.? It sound like you have truelove.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom