Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
How serious are you?
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
Kwa post yako.. You are too independent to need a man.. Me hapo am out.. Waliotayari waje tu
 
Hahaa muwe mnataja mmetumika mara ngap mnawatoto wangapi so kaz kutafta pa kufia sababu ulishakula ujana...

Subira waje waume za watu we miaka 28 ulikua wap
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
tour phone number?
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
mie nimeogopa kabila kuna yaliyotokea hivi majuzi dumila kati ya mchaga na mkikiyu. mchaga anaongea na wauaji kuwa hamjammaliza huyo fala mana simu yake ilishikwa na polisi. MUNGU niokoe
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
Naomba unipe pictures zako kathaa please if u can
 
Back
Top Bottom