Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Daaaah, kigezo cha umri kimeniangusha, ila sifa zingine zoote ninazo. Vp nijaribu bahati yangu?
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
Monie wangu, hujaweka sifa zako eg Umbo, sura, hobbies, mrefu /mfupi.

Hongera Kwa kujitokeza, we can do something.
Haaa haaa inaonekana wachaga wahanga sana wa haya mambo
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom