Mwanaume akikuzalisha asikuoe amekuharibia maisha

Mwanaume akikuzalisha asikuoe amekuharibia maisha

Watu huwa hawapangi kuzaa nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kuzalisha nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kutoku oa waliowazalisha nje ya ndoa
watu huwa hawapangi kutoku olewa na walio zaa nao nje ya ndoa...

kinachotokea kinaitwa 'shit happens' .......


Asanteeee.....
 
Tatizo siyo lao kumbe! Tatizo ni huyo mwanaume muongo na tapeli!
Ni katika umri fulani mwanamke anaweza kutambua na kupambanua mwanaume tapeli na mkweli!
Ndiyo sababu wengi wamezaa miaka 16 mpk 26! Ushasikia 35 kazalishwa aaf kaachwa! Zaidi yeye ndiye huacha akiona mwanaume ni mpuuzi puuzi!

Uwepo wako na maneno yako mmmhh!!!
 
Unajua kabisa hutaweza muoa...tuseme hukujua basi...ila unajua kabisa ukifanya ngono bila mpira kuna magonjwa na mimba,yanini usivae kondomu?....for godsakes huna sababu on earth kwanini hukutumia condom...

Nipe sababu....c'mon,convince me

Wanadai hawawezi kula pipi na ganda lake
 
Kabla ya kuzalishwa wanakula ujana, wakishazalishwa sasa ndiyo wanajifanya kukumbuka kutafuta mwenye maisha yake na muelekeo.
 
Wadada kuweni makini na mahusiano,mwanaume akikuzalisha na asikuoe hupunguza sana nafasi yako ya kuolewa hasa na mwanaume wa ndoto zako.

Mila nyingi zinakataza vijana kuoa mwanamke ambaye amezaa na mwanaume mwingine.Kuweni makini na future zenu. Hisia za mioyo yenu zisiwapotoshe.

Kwani hawajui siku zao za kupata mimba, na kumtaarifu huyo bwana kuwa akiweka tu mbegu mahindi yanaota?!!!
 
Haya yote hayatakwisha mpaka siku ambayo mwanamke atakapo tambua thamani ya mwili wake...na atakapo jua sababu ya tupu yake kuhifadhiwa kati kati ya mapaja na sio usoni mwake......
 
Labda ungebadilisha title, badala ya kusema "... amekuharibia maisha", useme "...amekupunguzia uwezekano wa kuolewa...".
Au kwako kutoolewa basi hakuna maisha kabisa?
 
dada zangu acheni kulalamika,hamjawahi kusikia BREACH OF PROMISE TO MARRY,kama aliahidi kukuoa na hajakuoa bila sababu yoyote ya msingi mbona sheria ya ndoa inakupa hiyo haki ya kumfungulia mashtaka.
kuna kesi inaitwa LAROK VS OBWOGA, humo jamaa amemdanganya binti wa watu kua atamuoa,akamgegeda weeeeh,akapata mimba afu jamaa akasepa zake.binti alifungua kesi na akafanikiwa koz jamaa alimuaribia maisha as she was a college student and enzi hizo hata vyuon ukipata mimba unafukuzwa.
CAUTION;hata mwanamme alieachwa solemba na mchumba nae anaeza kufungua mashtaka so inaapply kotekote.
ila tu kwaajili ya kutoijua sheria na kuhisi sheria ni ajili ya wanaosoma sheria tu basi haki zinapotea hivhiv......
 
Kama mmekubaliana kwa maandish poa au kielelezo chochote kinacho onesha wahusika lasvyo TANZANIA hii bila vielelezo mahakaman hupandi wala kesi hutoi.
 
wewe wakataze wasizae nje ya ndoa wafae masikini....
 
dada zangu acheni kulalamika,hamjawahi kusikia BREACH OF PROMISE TO MARRY,kama aliahidi kukuoa na hajakuoa bila sababu yoyote ya msingi mbona sheria ya ndoa inakupa hiyo haki ya kumfungulia mashtaka.
kuna kesi inaitwa LAROK VS OBWOGA, humo jamaa amemdanganya binti wa watu kua atamuoa,akamgegeda weeeeh,akapata mimba afu jamaa akasepa zake.binti alifungua kesi na akafanikiwa koz jamaa alimuaribia maisha as she was a college student and enzi hizo hata vyuon ukipata mimba unafukuzwa.
CAUTION;hata mwanamme alieachwa solemba na mchumba nae anaeza kufungua mashtaka so inaapply kotekote.
ila tu kwaajili ya kutoijua sheria na kuhisi sheria ni ajili ya wanaosoma sheria tu basi haki zinapotea hivhiv......

Kumbe kuna sheria, sijui nikamstaki dada mmoja hakika hio kesi nitashinda
 
Wadada kuweni makini na mahusiano,mwanaume akikuzalisha na asikuoe hupunguza sana nafasi yako ya kuolewa hasa na mwanaume wa ndoto zako.

Mila nyingi zinakataza vijana kuoa mwanamke ambaye amezaa na mwanaume mwingine.Kuweni makini na future zenu. Hisia za mioyo yenu zisiwapotoshe.

Kwa hiyo wewe unaamini kabisa kuolewa ndio kuyapatia maisha? Na kutoolewa ni kuharibikiwa na maisha? Badilisha mtizamo wako kuhusu maisha. Kuna single mothers ambao wanafanya vizuri tu katika maisha, wanalea watoto wao wenyewe, wana majumba, magari na pesa. Na hao pia walizalishwa na kuachwa na wanaume. Fungukeni kifikra kina dada, msikate tamaa kwa kosa moja tu katika maisha. Ichukulie kuzalishwa mtoto na kutelekezwa kama changamoto ya kupambana na maisha.
 
Tatizo siyo lao kumbe! Tatizo ni huyo mwanaume muongo na tapeli!
Ni katika umri fulani mwanamke anaweza kutambua na kupambanua mwanaume tapeli na mkweli!
Ndiyo sababu wengi wamezaa miaka 16 mpk 26! Ushasikia 35 kazalishwa aaf kaachwa! Zaidi yeye ndiye huacha akiona mwanaume ni mpuuzi puuzi!

Sawa kabisa!
 
Back
Top Bottom