Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Mwanaume acha mke ukiwa humpendi

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,380
Reaction score
56,078
Habari za Jumapili wanajamvi,

Naomba nishauri wanaume wenye tabia ya kuacha au kutelekeza wake zao nusunusu.

Takuta mwanaume anakufanyia visa vingi ndani hapo ndo kashaanza michepuko huko, mnakaa ndani miezi hakuna kukutana kimwili, nyumba ugomvi hauishi na inageuka uwanja wa mapambano kila siku.

Ukienda kumshtaki kwa watu wazima mana uvumilivu sasa umeshindikanika akiulizwa mkeo ana kosa gani'anajibu hajanifanya chochote simpendi tu sasa, mvumilivu, anawapenda ndugu zangu ananihudumia vizuri Ila mimi tu simpendi! s"ababu hana, kumbe hela zinampa kibri. Anakutimua kama mbwa kwake unakomaa huondoki mwisho analeta mwenzio ndani make wrote ndo unapojitoa hapo kurudi kwenu.

Unafika unayumbaaa kimaisha maana hana msaada na wewe wala watoto mpaka unasimama tena kimaisha. Michepuko ile sasa inamkimbia maana anaanza kuyumba, kila mwanamke anatimua kila siku nyumba inakua gesti bubu! Unakomaa we mama na wanao mpaka wanaanza shule tayari maisha yanaanza kukaa sawa na umeshamsahau kabisa katika ramani ya moyo wako sasa unaenjoy na watoto wako yeye sasa anajileta.

Anaanza kukusifia kila Sikh asubuhi meseji Mara whatsap, Mara texts na ujinga wotee, haitoshi anaanza kuomba msamaha urudi tena kwake' unajiuliza nirudi kwa kua ananipenda au kwa kua amefilisika niende kumueka kwenye BOOM ili akudhalilishe tena samahani sana, mwanamke sio mua kua una thamani pale unapouhitaji ukimaliza yale maganda unatupa haraka sana maana ni uchafu,
mwanamke pia sio condom unaitumia na kuitupa.

Tabia ya kuwafanya wake zenu au wenza wenu wa ukweli spea tairi muiache sio nzuri. Ana mapungufu mvumilie maana ndo ushamuoa huyo au ndo ushamzalisha tayari, wanaume jifunzeni kuwa na huruma na wake zenu.

Jumapili njema!
 
Dah umenikumbusha story ya kusikitisha sana,baba mmoja alipata pesa nyingi as alikuwa mfanyabiashara wa mitumba.Hela ikamzuzua akamkimbia mkewe wa ndoa,akaenda kuoa mke mwingine.Pamoja na kuoa mke mwingine ,yule baba hakuacha kuwa na michepuko.Mwisho wa siku akafilisika na akarudi kwa mkewe ,mkewe akampokea kama mmewe wa ndoa.Kumbe yule baba karudi na ngonjwa hatari la Ukimwi ,na enzi zile hakukuwa na ARV miaka ya tisini mwishoni.Mme alikufa na mke nae baadae akafa.
 
Dah umenikumbusha story ya kusikitisha sana,baba mmoja alipata pesa nyingi as alikuwa mfanyabiashara wa mitumba.Hela ikamzuzua akamkimbia mkewe wa ndoa,akaenda kuoa mke mwingine.Pamoja na kuoa mke mwingine ,yule baba hakuacha kuwa na michepuko.Mwisho wa siku akafilisika na akarudi kwa mkewe ,mkewe akampokea kama mmewe wa ndoa.Kumbe yule baba karudi na ngonjwa hatari la Ukimwi ,na enzi zile hakukuwa na ARV miaka ya tisini mwishoni.Mme alikufa na mke nae baadae akafa.
Mungu wangu!!!dah Anakuletea na maradhi wanawake wengi hiyo hutukuta huo no mfano mmoja tu!na wanarudi wakishafilisika maana kule pesa kwanza!!wanaume wengi wanakuja kugundua makosa yao baadae sana na wameshachelewa!!
Daah huzuni sana!
 
Hayo ndio mapungufu ya wanaume tuliowengi hii hutokea kwa limbwata yaani uchawi au hali ya kawaida ila mara chache.


Fikiria Kwa kina ni Baba yupi anatamani kuitelekeza familia yake yaani Mke aliyemsotea kumuomba amuoe na watoto aliozaa na huyo mke.

Tatizo ndoa nyingine haziko Kwa upendo bali shinikizo alimtia mimba basi wanaishi, alimuwekea madawa limbwata basi wanaishi akija kaenda Kwa mkali zaidi mganga basi jamaa anahama.

Wewe utafikiri ni hela imemkimbiza kumbe mchepuko umemtengeneza baada ya kuona hela.
 
Dah umenikumbusha story ya kusikitisha sana,baba mmoja alipata pesa nyingi as alikuwa mfanyabiashara wa mitumba.Hela ikamzuzua akamkimbia mkewe wa ndoa,akaenda kuoa mke mwingine.Pamoja na kuoa mke mwingine ,yule baba hakuacha kuwa na michepuko.Mwisho wa siku akafilisika na akarudi kwa mkewe ,mkewe akampokea kama mmewe wa ndoa.Kumbe yule baba karudi na ngonjwa hatari la Ukimwi ,na enzi zile hakukuwa na ARV miaka ya tisini mwishoni.Mme alikufa na mke nae baadae akafa.
Ikifanyika stop and search za ARV's anaekutwa nazo awekwe ndani, nusu hawatarudi majumbani😡😡
 
K
[QUOTE="chipolopowanadamusni ubinafsi,uliobpitiliza27ukimpendaamwenzakoikamaoje[/QUOTE]
Kinhizitlawamaahakunawkabisau ni ubinafsi ulio pitiliza, ukimpenda mwenzako kama unavyojipenda hizi lawama hakuna kabisa.
 
Hahahaa

Mwanaume wa hivyo inamtiririsha vibaya mno asilete ujinga hapa

Sema wanawake nao sometimes hawajitambui....jitu limekutelekeza miaka.......linarudi unalipokea yelewiiiiiii

Yaani ukiondoka usithubutu kurudi......kama shida kujua hali za wanao nitakupa namba zao za simu...au landline ya familia...

Nani anataka inzi....
 
Dah umenikumbusha story ya kusikitisha sana,baba mmoja alipata pesa nyingi as alikuwa mfanyabiashara wa mitumba.Hela ikamzuzua akamkimbia mkewe wa ndoa,akaenda kuoa mke mwingine.Pamoja na kuoa mke mwingine ,yule baba hakuacha kuwa na michepuko.Mwisho wa siku akafilisika na akarudi kwa mkewe ,mkewe akampokea kama mmewe wa ndoa.Kumbe yule baba karudi na ngonjwa hatari la Ukimwi ,na enzi zile hakukuwa na ARV miaka ya tisini mwishoni.Mme alikufa na mke nae baadae akafa.
Unaona eeeh
Iisa cha kufa kwa starehe za mwingibe nani anataka....

Yaani nakutiririsha tu

Hukunithamini ulipokuwa nacho leo huna ndio uone thamani yangu?????

Ndio tunajua wanarudigi....lakina hapana aisee kiroho safi abaki huko huko
 
Mungu wangu!!!dah Anakuletea na maradhi wanawake wengi hiyo hutukuta huo no mfano mmoja tu!na wanarudi wakishafilisika maana kule pesa kwanza!!wanaume wengi wanakuja kugundua makosa yao baadae sana na wameshachelewa!!
Daah huzuni sana!
Binamu wengi wanarudi kwa wake zao baada ya mambo kuwachachia huko nje na sio kwamba amegundua makosa yake. Kama hajafulia basi ana maradhi, na michepuko mingi haijui neno "shida", shida kwa mkeo. Mbona hawagundui makosa yao wakiwa na hela bado na afya njema? Akipatwa na mabalaa huko ndo anajirudisha, kajichokea hana hata ongezeko la thamani, yani apeche alolo. Arudi huko huko alikokuwa ameinvest raha zake shaaaa
 
Binamu wengi wanarudi kwa wake zao baada ya mambo kuwachachia huko nje na sio kwamba amegundua makosa yake. Kama hajafulia basi ana maradhi, na michepuko mingi haijui neno "shida", shida kwa mkeo. Mbona hawagundui makosa yao wakiwa na hela bado na afya njema? Akipatwa na mabalaa huko ndo anajirudisha, kajichokea hana hata ongezeko la thamani, yani apeche alolo. Arudi huko huko alikokuwa ameinvest raha zake shaaaa
Ndo ambacho mie sikitaki hichoo!Mtu amekutelekeza umehangaika weee na watoto!anakula gud time ameishiwa anajifanya kurudisha mahaba

wanaume wakiwa na hela sijui wanakua na ibilisi gani!!


Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom