Mwanasoka katoa kali!!!!!!

Mwanasoka katoa kali!!!!!!

saleh sule

Member
Joined
Dec 25, 2011
Posts
47
Reaction score
8
mchezaji mmoja wa mpira wa miguu alitoa kal ndan ya uwanja huku mpira ukiendelea mara akasikika anasema kabanwa na haja kubwa duuh
 
Hahahahahaaaaa.........Duh! haina tofauti na wewe uamke usingizi kati na kutaka ku...........ya!!!!!!!!
 
siku nyingine ale wali halafu anywe maziwa fresh
 
Hayo mambo hata kwenye ligi ya zenji yameshawahi kutokea baada ya mchezaji kushikwa na tumbo la kuhara! umesahau hata Rio Ferdinand kuna siku aliomba biscuits wakati mpira unaendelea na akala akiwa uwanjani.
Pia nakumbuka nilisoma kwenye gazeti moja kuwa kuna mchezaji nyota wa England miaka ya 90 alikuwa anaitwa Chriss Waddle akiwa anachezea Marseille ya ufaransa kuna siku aliuchapa usingizi akiwa uwanjani baada ya kutokea mzozo kati ya wachezaji wa timu mbili na baada ya hali kutulia na refa kuruhusu game kuendelea walishtukia jamaa anakoroma kabisa karibu na goli la upinzani.
 
Back
Top Bottom