Afadhali nimwombee shetani!vipi lakini unamwombeaga?
Mkuu huyo si ndugai?aliyenishangaza ni jamaa mmoja aliyedundwa gongo sijui lilikuwa la kichwani au la mgongoni na mpinzani wake ndani ya chama chao hadi kuzimia
aliyempiga akapeta kinoma lakini afya yake ikazingua sana mpaka yule aliyepigwa akapewa ukuu wa wilaya ndo mpigaji akapata nafuu na kupona.
nilishangaa sana
Kila kashfa yupoKafanyaje?
Umemsahau na yule Rais wa Dar 2RAISI MAGUFURI...
kitendo cha kujadiliana na mwizi meza moja halafu mwizi bado anaiba kwa kufanya kazi bila kibali
Nani tena mkuu?Umemsahau na yule Rais wa Dar 2
aliyenishangaza ni yule mwingine sasa, hakumsamehe ****** mpaka alipopewa ukuu wa wilaya. just in a week tunasikia ****** kule india kaanza kutembelea magongoMkuu huyo si ndugai?
ndo huyohuyo, sema mi nimemmaindi yule mwenzake na ndo aliyenishangaza, kwa nini kamsamehe? maana alikuwa india akipumulia mashine.Mkuu....hawa wa wapi maana mbona story ilianza km ya Spika wakati wa kura za maoni?