Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
Hili ndo uwa siamini amini tulivyoachwa hewani
Mh.....ila kweliRAISI MAGUFURI...
kitendo cha kujadiliana na mwizi meza moja halafu mwizi bado anaiba kwa kufanya kazi bila kibali
Kafanyaje mkuu huyu jamaa?pia hku dodoma tunao Lusinde wengi na maarufu anaitwa Mzee Job Lusinde ila yule Mbunge wa mtera anaitwa Lusinde Kibajaji!Lusinde
Sawa ngoja tuone au umeona utekelezaji hata kidogo kwenye ngazi ya Kitaifa mkuu?hakuna maana wanasiasa wote wanatabirika.
vitu vinavyotabirika huwa havishangazi...
kikubwa ni kuangalia kama wanafanya waliyosema watafanya hata kwa asilimia moja?
Mkuu....hawa wa wapi maana mbona story ilianza km ya Spika wakati wa kura za maoni?aliyenishangaza ni jamaa mmoja aliyedundwa gongo sijui lilikuwa la kichwani au la mgongoni na mpinzani wake ndani ya chama chao hadi kuzimia
aliyempiga akapeta kinoma lakini afya yake ikazingua sana mpaka yule aliyepigwa akapewa ukuu wa wilaya ndo mpigaji akapata nafuu na kupona.
nilishangaa sana
vipi lakini unamwombeaga?Mimi aliyenishangaza ni yule anayeomba kuombewa kila siku huku yeye mwenyewe akionyesha chuki na visasi katika matendo yake.
Wamefanyaje mkuu?tupe kidogo?Lowassa na mbowe
Vipi Bi mkubwa unamwelewaga lakin?Ndugai. Amekuwa puppet wa JPM badala ya kumsimamia JPM.
Mimi nilizipenda kampeni zake tu kwenye uchaguzi mkuu?Hashim Sipunda rungwe rais wa moyo wangu ana busara iliotukuka.
Itakuwa ni ahadi ya mwaka 2020 wakirudi tena!Majaliwa aliposema serikali imenunua mambo wa kukamata wauza unga!
Hata ukiwanao ndani ya nyumbani wakipita huko nje wanajua!
Sijui umeishia wapi?
Mie Kanishangaza Sana Mbunge Msomi wa Arumeru Mashariki Ndg Joshua Nassari kwny Mkutano wa Bunge la Bajeti kutumia Nafasi adimu ya kuongelea Matatizo ya Wananchi wake yeye akawa bize kuzungumzia Nyanya na Mboga Mboga zilizoharibiwa Shambani kwa Mbowe
Kafanyaje?Chenge
AmenKwa kweli Mzee Lowasa na Sumaye sikutegemea kama wangehama CCM pia Sikutegemea kama Magufuli atakuwa wetu wa Tanzania! Yote heri.
Mungu aendelee kumlinda na kumtumia Magufuli kwa Watu wake wa Tanzania!