Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

Mimi binafsi huwa simheshimu mwanasiasa "anayepita bila kupingwa", hasa wakati baba yake akiwa pia kiongozi mwandamizi wa chama!

Nafikiri John Mnyika yuko juu kidogo
 
mleta maada umetuchanganya kidogo, wewe mwenyewe hutaki vyama halafu umeleta majina kwa vyama,

anyway Mnyika ni jembe
 
Zitto ni kinyonga ambaye hadi sasa rangi yake haijajulikana hivyo haakisi taswira ya kijana anayetakiwa hapa

Unafki huo! Nakama c unafki angusha sifa/harakati walizo zifanya hao vijana wako zinazo mbiga pini Mh zito/Rais mtarajiwa kipenzi cha wengi( wasio na majungu )
 
Juliana Shonza, Mchange, Mwampamba.....Tehe Teheeee!!!!!!!!!!!:majani7:
 
Kwanza mshusha uzi umejaa ukristo, haiwezekani vijana hao wote wakawa wagalatia watupu. Huwezi sema kati ya vijana hao Mh. Zito Zuberi kabwe hawezi kuwa mfano wa kuigwa, huo ni ujinga, udini, na kuji fanfa hujui wakati akili unazo. Binafsi nime udharau uziwako kama nilivyo kidharau CDM.viva Zito,ww ndio kiongozi unae faa kuongoza taifa hili,
 
Unafki huo! Nakama c unafki angusha sifa/harakati walizo zifanya hao vijana wako zinazo mbiga pini Mh zito/Rais mtarajiwa kipenzi cha wengi( wasio na majungu )

Soma vizuri main topic na sub topics zake harafu urudi usikurupushwe na ushabiki bro.
 
Mimi ni chama kubwa lakini hata mimi sioni kama January anafaa, ni mwanasiasa aliyeandaliwa na mfumo mbovu na pia kuandaliwa na nafasi ya wazazi wake, licha ya kwamba Baba yake aliharibu sana Chama chetu yeye ndiye mwasisi wa RUSHWA katika uchaguzi za chama chetu, atakaye bisha awaulize wote walionyesha nia kugombea ubunge kupitia CCM asilimia zaidi ya 90% walichanjwa na Makamba yaani pesa aliyonayo we acha tu ndiyo maana hata wakati anaondoka alikuwa na kebehi na jeuri kubwa. roho hurithishwa tuwe makini!
 
wana tofauti kubwa unapokuja kwenye maswala ya kijamii na mahusiano eg. mdee anatajwa kujihisisha na usagaji, lema ana jeuri, hasira, ubabe na sometimes lugha chafu but mnyika ni jembe
kama haya yote katika kumtetea mnyonge basi nimeyabariki..
 
Kwanza mshusha uzi umejaa ukristo, haiwezekani vijana hao wote wakawa wagalatia watupu. Huwezi sema kati ya vijana hao Mh. Zito Zuberi kabwe hawezi kuwa mfano wa kuigwa, huo ni ujinga, udini, na kuji fanfa hujui wakati akili unazo. Binafsi nime udharau uziwako kama nilivyo kidharau CDM.viva Zito,ww ndio kiongozi unae faa kuongoza taifa hili,
punguza bangi!!!january yusuf makamba ni mkristo?au ulivyoona january ukalihusisha na wakristo!!!
 
Zito hoja zake zinalenga kumjenga peke yake Kisiasa, ana ubinafsi. Kwangu mpaka sasa Mnyika nampa kura yangu
 
Umesahau kigezo kingine,asiwe mchawi.naona watu washaanza kumuweka Rais wa Masalia
 
Back
Top Bottom