rutegeramisi gwategera
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 446
- 493
Kwa mtazamo mpana Kassim Majaliwa ndiye mwana CCM makini na bora kama CCM itaendelea kuwa madarakani basi huyu PM Kassim Majaliwa ndiye mtu pekee anafaa kuwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wana CCM wengi hawana mvuto ni mamluki na wabinafsi vizabizabina wa kujipendekeza ila Kassim Majaliwa ndiye pekee mwenye sifa ya kuwa kiongozi bora kutoka CCM na kuleta mshikamano wa kitaifa.
Tanzania bila upinzani na Demokrasia makini ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya taifa letu.
Mungu mbariki Kassim Majaliwa
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Wana CCM wengi hawana mvuto ni mamluki na wabinafsi vizabizabina wa kujipendekeza ila Kassim Majaliwa ndiye pekee mwenye sifa ya kuwa kiongozi bora kutoka CCM na kuleta mshikamano wa kitaifa.
Tanzania bila upinzani na Demokrasia makini ni hatari kwa ustawi wa maendeleo ya taifa letu.
Mungu mbariki Kassim Majaliwa
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika