Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Katika awamu hii Majaliwa amejitahidi sana tatizo ni bosi wake tu anampoka madaraka yake ila huyu bwana ni mpenda haki na sheria ila kwasasa hana jinsi anafurahisha bosi wake anayoyataka
Uko sahihi mkuu