Mwanasheria mpya Zanzibar hataki kurudi nchini

Mwanasheria mpya Zanzibar hataki kurudi nchini

Kelele huwa zinaishia kwenye mitandao tu hamna lolote.imeshapendekezwa kaeni mlie tu
 
Hadithi hadithi...hadithi njoo...UONGO WA CUF NJOO...Muongo mzushi mkubwa wewew. Rais kabla hajamteua mtu anamwita Ikulu na kumpa taarifa halafu ndio anatangaza uteuzi wake.. Labda mwanasheria wa CUF ndiye aliyejilipua...(tetesi)
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.
 
Kwani jana hakuwepo kwenye makabidhiano ambayo ilikuwa lazima mwanasheria wa Zanz na JMT wawepo?
 
Kuna watu mnatamani Sana mambo yavurugike ila mtashindwa Na aibu itawapata. Jana jk kawaeleza Jana kila jambo Na wakati wake hayo mnayoyataka wakati wake bado ukifika wala haamtapata tabu kukamilisha matakwa yenu kwa sasa bado .
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......

Bashiri kwak swanzy akapandishwa ndege ya kwanza kwenda Ghana
 
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.

Kwaheri ukoloni kwaheri Uhuru ,Zanzibar na mapinduzi ya Afrabia
 
Hadithi hadithi...hadithi njoo...UONGO WA CUF NJOO...Muongo mzushi mkubwa wewew. Rais kabla hajamteua mtu anamwita Ikulu na kumpa taarifa halafu ndio anatangaza uteuzi wake.. Labda mwanasheria wa CUF ndiye aliyejilipua...(tetesi)
Wewe kweli ni kilaza. Jana ulisema umewaona mabalozi leo unakuja na lingine..

Piga kura ya 'HAPANA' kwa katiba ya maharamia
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......


Lukuvi anasema hawataki kuiacha zanzibar iwe huru kwa kuwa magaidi watafanya makazi pale.

Anasema hawako radhi kuona zanzibar dola ya kiislam inasimama.

Silly Argument.badala ya kuzungumza hoja na kukata mziz wa fitna...

CCM is showing POLITICAL PONOGRAPHY.
 
Mtoa mada kaanza kwa kusema 'habari alizozipata juu juu, kisha kamalizia kwa kusema hizi ni tetesi' Sasa nashauri wote mliokusanyika mtandaoni kujadili umbeya huu tawanyikeni mkafanye shughuli za maendeleo acheni kupotezewa muda sababu muda ni mali.
 
Wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa mwaka 1964 Dourado alitimuliwa , sasa Tanganyika imesababisha tena Othman kufukuzwa .......
hapa Mkuu unijuze kati ya waTg na waZenj nani wabozi?
 
Me ninacho juwa hawata dhubutu kuingia kwenye mchakato wa kura ya maoni wamegundua uchakachuwaji wake ndio kengele ya mwisho kwa amani ya nchi .
Kilicho baki tuanze kuwalazimisha tuingiye kwenye kura ya maoni hawataki ata kuisikia wamesha piga pesa za kodi kama ilivyokuwa dhamira yao
 
Zanzibar ya leo sio ya jana. Hakuna mtu ambaye yuko indispensable. wasomi wengi Zenji atapatikana tu Mwanasheria mwingine. hayo ni machozi ya mamba!!
 
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.

Ushauri wangu kama huna uhakika na unachotaka kusema bora ukae kimya kuliko kuleta porojo kama stori za wanawake saluni
 
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.

Inaleta woga.Kama Boss kachinjiwa baharini sa yeye itakuwaje?
 
Back
Top Bottom