Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Fredrick Werema atazungumza na Wanahabari kesho - Agosti 16

Asije akawa anakwenda kuropoka sisi tunagemea azungumze vitu vya maana sana vinavyo lihusu taifa na watanzania.
 
Huyu mtu wa ajabu sana,sijui walitumia vigezo gani kumteua kua mwanasheria mkuu wa serikali..napendekeza kutafutwe njia sahihi ya kuteua hawa viongozi.
 
mbona kila mtu yupo dar mawazir ,mwanasheria mkuu wa serikali sasa huku dodoma anaejadili rasimu ni nani naombeni mnifungue maana nipo kwenye kiza
 
Wakuu,

Nimepata taarifa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Fredrick Werema atazungumza na Wanahabari kesho, Jumamosi, Agosti 16, 2014 kuanzia saa4:30 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano (Ground Floor) wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora uliopo katika Jengo la Haki (Haki House), mtaa wa Luthuli -- mkabala na jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais na mita chache kutoka Makao Makuu ya Wizara ya Fedha. Katika mkutano huo, Mhe. Jaji Werema atafafanua masuala kadhaa ya kisheria yanayohusu mchakato wa katiba.


Nyote mnakaribishwa. Wanahabari mnaombwa kuwa ukumbini ifikapo saa 4:15 asubuhi kesho..
aksante kwa taarifa though hatutegemei jipya toka kwake zaidi ya muuendelezo wa upotoshaji
 
mbona kila mtu yupo dar mawazir ,mwanasheria mkuu wa serikali sasa huku dodoma anaejadili rasimu ni nani naombeni mnifungue maana nipo kwenye kiza
mkuu wako dar wakitengeneza mkakati wa kuwarubuni wajumbe ili hatimaye wapate 2/3 ya Zanzibar
 
Naamini upotoshaji wote uliyofanywa na wanaharakati kuhusu Katiba mpya kesho utatokomezwa na AG
kwa jina la Yesu pokea uponyaji,funguka na uwe huru kuanzia sasa na Siku zote za Maisha yako yaliyosalia hapa duniani-amen
 
werema ni mjinga bora mwanasheria wa serekali angekuwa tundu lissu werema hafai ana jazba sana utafikiri huko nyumbani mke wake anampa kichapo
 
Huyo Mura Kilaza hana mpya la kuwaambia WaTanzania...NI AG wa hovyo na kilaza Tanzania ukilinganisha AG's wote waliopata tumikia ofisi ile nyeti....Ni mpuuzi, kiburi na kilaza wa haja asiyekuwa na stahimili wala staha kwa wenzie. Amejaa ubabe wa ki Mura mura saa yote na anajiona yeye ndio yeye tu. Ni kihiyo wa mwisho katika fani anayoitumikia ya sheria kiasi kwamba hata najiuliza alipitaje huko katikati mpaka kufika pale alipofika.

Wazungu husema ndege waliofanana ndio huruka pamoja...Hivyo nikimwangalia yeye na bosi wake aliyemteuwa basi huwa napata jawabu kwa nini yuko pale alipofika. Mwisho kabisa Wakale walisema.... 'ukiona kobe yuko juu ya kilele cha mti ujue alibebwa toka ardhini akawekwa pale:)
 
Wakuu,

Nimepata taarifa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Fredrick Werema atazungumza na Wanahabari kesho, Jumamosi, Agosti 16, 2014 kuanzia saa4:30 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano (Ground Floor) wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora uliopo katika Jengo la Haki (Haki House), mtaa wa Luthuli -- mkabala na jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais na mita chache kutoka Makao Makuu ya Wizara ya Fedha. Katika mkutano huo, Mhe. Jaji Werema atafafanua masuala kadhaa ya kisheria yanayohusu mchakato wa katiba.


Nyote mnakaribishwa. Wanahabari mnaombwa kuwa ukumbini ifikapo saa 4:15 asubuhi kesho..

huyu AG wa ccm kuna nn tena au wameamua kujiuzulu mpaka raisi hawafai tena kuendelea kutawala ccm ni marehemu watarjiwa
 
kati watu nawadharau sana ni hili ----- werema sijui vigezo gani viliangaliwa kuteuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Hawezi kuishauri serikali kwa kitu chochote kuhusu sheria poor anaganga njaa tu.

Aliyempa ushauri rweyemamu wa ikulu ni nani kama siyo yeye?? Sheria gani inampa rais kuteua bila kutengua??? Maskini tanganyika yangu mafisadi kama hawa sijui lini wataisha

Wewe zuzu au nini??? Je Rais akiteua Jaji anaweza kutengua uteuzi huo?? Wacha kuanika uzuzu wako hapa!!
 
Wakuu,

Nimepata taarifa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Jaji Fredrick Werema atazungumza na Wanahabari kesho, Jumamosi, Agosti 16, 2014 kuanzia saa4:30 asubuhi katika Ukumbi wa Mikutano (Ground Floor) wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora uliopo katika Jengo la Haki (Haki House), mtaa wa Luthuli -- mkabala na jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais na mita chache kutoka Makao Makuu ya Wizara ya Fedha. Katika mkutano huo, Mhe. Jaji Werema atafafanua masuala kadhaa ya kisheria yanayohusu mchakato wa katiba.


Nyote mnakaribishwa. Wanahabari mnaombwa kuwa ukumbini ifikapo saa 4:15 asubuhi kesho..

Mbona nasikia Werema leo hana mengi bali anaenda kujiuzuru tu.
 
Inashangaza sana mwanasheria anaongoza kuvunja sheria. ''Mambo ya zanzibar kaulizeni kwenu siyo hapa. By Welema''
 
Ijapokuwa historia ya matamshi na mienendo yake toka ateuliwe kuwa AG imekuwa na walakini in the recent past (na mimi huwa sikubaliani naye kwa mambo mengi), I submit that we give him benefit of doubt kwa hiyo press conference yake, then tum-judge kwa atakachosema! Does that sound fair?
 
Kati watu nawadharau Sana ni hili ----- werema sijui vigezo gani viliangaliwa kuteuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Hawezi kuishauri serikali kwa kitu chochote kuhusu sheria poor anaganga njaa tu.

Aliyempa ushauri Rweyemamu wa Ikulu ni nani kama siyo yeye?? Sheria gani inampa rais kuteua bila kutengua??? Maskini Tanganyika yangu mafisadi kama hawa sijui lini wataisha

Vigezo hapo ibara ya 59 kifungu cha 2 mkuu, jamaa nunda sana huyu hasa majibu yake utasema sio mwanasheria maana sheria zimetungwa kwa ajili ya raia wazifuate ajabu ukiwa tofauti nae anakuwa na hasira utasema katukanwa yeye kama Werema wakati hapo kilichopindwa ni sheria hivyo na yeye anapokuwa pale bungeni anakuwa kama mwanasheria mkuu na sio Werema though jina linatumika kama utambulisho.

59.-(1) There shall be the Attorney General for the Government of the United Republic, who in the subsequent Articles of this Constitution, shall simply be referred to as the “Attorney-General” who shall be appointed by the President. (2) The Attorney General shall be appointed from amongst public officers qualified to perform functions of advocate or, persons who are qualified to be registered as advocates and, has continuously held those qualifications for a period of not less than ten years.
(3) The Attorney-General shall be the adviser of the Government of the United Republic on matters of law and for that purpose shall be responsible for advising the Government of the United Republic on all matters of law, and to discharge any other functions pertaining to or connected with law which are referred or assigned to him by the President and also to discharge such other duties or functions which shall be entrusted to himby this Constitution or by any law.
 
Kikwete amebugi sana katuletea mwanasheria mkuu bondia.

Huyu kweli ni bondia, wanasheria huwa hawa-panic pale mtu anapokuwa tofauti na mwenzake wanachofanya ni kuangalia vifungu na kujibu kwa hoja mwisho wa siku yule mwenye evidence za kutosha anakuwa mshindi na ndio tutanfuata wote, sasa yeye anapanic sijui na sie walima matikiti maji ambao ni maamuma wa sheria tufanyaje sasa
 
Back
Top Bottom