Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Kutokana na uchunguzi uliofanywa na gazeti mahiri Tanzania unaonyesha Mwanasheria Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Jimbo la singida mashariki Tundu Lissu apata wafuasi Mil.90 duniani ndani ya muda mfupi baada ya kuhojiwa katika kipindi cha Hardtalk.
=================
=================