Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Na bahati kuna fani hata ukiaribu unajua pa kurekebisha
Unapokuwa nesi hii ni wito umebeba maisha ya watu
Nini kimetokea
Tulipeleka mgonjwa Mwanayamala siku nne zilizopita akaonekana anahitajika kusafishwa vidonda mguuni. Wakaandika madawa na vya kusafishia tukanunua vya 26000
Mchana ule wakamsafisha wakisema na kesho wanamsafisha..Tulipofika hospitali tulikutana na aibu. Daktari anasema vifaa havipo vya kumsafishia tukasema mbona tumenunua jana tukambiwa vitatosha na leo
Akaitwa nesi akakiri walipokea baada nesi mmoja anaomba msamaha vilitumika kwa wagonjwa wengine wanahisi walijichanganya
Anyway vidonda vimeanza toa harufu tukanunua vifaa vingine wakapewaa wamsafishe asbh yake ajasafishwa mchana tukaforce aondolewe maana hata baadhi ya manesi wengine walikuwa wanashauri pale atakufa kwa hao manesi wa shift hii mtamsahau mgonjwa wenu
Tulipowambia tunamhamishia hospitali nyingine wakaona aibu wakaja kumsafisha juujuu. Wakati wanaombwa vifaa vilivyobakia inapokelewa bandage moja tu...
Wakaulizwa zingine ziko wapi tulizonunua manesi wodi 5 surgical again bila haya wanasema wametumia jana usiku kuna mgonjwa atarudisha waliishiwa usiku
Ndugu zangu mnaopeleka wagonjwa pale jihadharani saba hasa hii wodi
1. Wanauza vifaa vya mgonjwa wako
2. Bla haya kama ujawapa hela mgonjwa wako hata dawa ulizonunua apewi wala chakula kama muda umepita
3. Nashauri uongozi kuhimiza awa manurse wavae majina na namba kabisa iwe visible mtu kujua nani amehusika na tukio fulani
4. Nashauri kuwepo na usimamizi maalum.Wodi 5 surgical wagonjwa wengi wanateseka manurse wanawaangalia.Wakati mwingine inabidi uwaonbe jaman mgonjwa yule anaomba msaada wanasema kwani atumsikii??
5. Nashauri mruhusu wagonjwa waliohoi wawepo msimamizi mmoja anaeshinda nae asubuhi mpaka asubuhi kuondoa manunguniko kwañn
Kuna mgonjwa tumekuta analalamika kwa ndugu zake jioni ajapewa chakula na chakula mchana ndugu walichelewa kidogo wakambiwa kiacheni tutampa yule mgonjwa hakupewa kabisa kabisa
Yapo matukio mengi. Mwanyamala serikali muangalie kuwahamisha hawa manesi wamezoea kazi
Kuna hili tukio lilinihuzunisha sana kabla ya wodi 5 mgonjwa alikuwa wodi moja upande wa kulia sikumbuki namba...Akaja mgonjwa mmoja manurse wakambiana huyu afikishi masamanne..Mkimbizieni oxygen
Mkaka wa watu akapewa oxygen siku ya kwanza huyo ya pili huyo yatatu huyoo akatolewa oxygen manurse awaamini wakanza ambiana kha yale masaa yamegeuka siku mungu apangiwi...Hataree sana sanaa
Kama unamgonjwa unajua yuko hoi ushauri tu peleka luganzila ama muhimbili
Lugalo wamempokea mgonjwa wanashanga vile vidonda na bahati kulikuwa na madaktari bingwa wakamsaidia wakandika na ripoti hali waliompokea nayo na kusema watawakilisha huko juu kupata maelekezo zaidi...
Manurse Mungu awasamehe sana hata kama mtakuja hapo bado heshimuni uhai wa mungu alietupa na nyie kuwepo hapo
Mbona hamna upendo kama manurse wenzenu wa Lugalo??
Tunatoa shukran nzima kwa wauguzi na madk wote wa lugalo waliompokea wapendwa wale watu wana Mungu wana hofu ya mungu...
Nimekaa masaa machache wanakuja wagonjwa kwenye gari wanawakimbilia na kutoa dir wapeleken pale wako nyuma na kumsaidia mgonjwa mmoja mmoja
Mungu awabariki sana saba uongozi mzima wa lugaloo hosp
Unapokuwa nesi hii ni wito umebeba maisha ya watu
Nini kimetokea
Tulipeleka mgonjwa Mwanayamala siku nne zilizopita akaonekana anahitajika kusafishwa vidonda mguuni. Wakaandika madawa na vya kusafishia tukanunua vya 26000
Mchana ule wakamsafisha wakisema na kesho wanamsafisha..Tulipofika hospitali tulikutana na aibu. Daktari anasema vifaa havipo vya kumsafishia tukasema mbona tumenunua jana tukambiwa vitatosha na leo
Akaitwa nesi akakiri walipokea baada nesi mmoja anaomba msamaha vilitumika kwa wagonjwa wengine wanahisi walijichanganya
Anyway vidonda vimeanza toa harufu tukanunua vifaa vingine wakapewaa wamsafishe asbh yake ajasafishwa mchana tukaforce aondolewe maana hata baadhi ya manesi wengine walikuwa wanashauri pale atakufa kwa hao manesi wa shift hii mtamsahau mgonjwa wenu
Tulipowambia tunamhamishia hospitali nyingine wakaona aibu wakaja kumsafisha juujuu. Wakati wanaombwa vifaa vilivyobakia inapokelewa bandage moja tu...
Wakaulizwa zingine ziko wapi tulizonunua manesi wodi 5 surgical again bila haya wanasema wametumia jana usiku kuna mgonjwa atarudisha waliishiwa usiku
Ndugu zangu mnaopeleka wagonjwa pale jihadharani saba hasa hii wodi
1. Wanauza vifaa vya mgonjwa wako
2. Bla haya kama ujawapa hela mgonjwa wako hata dawa ulizonunua apewi wala chakula kama muda umepita
3. Nashauri uongozi kuhimiza awa manurse wavae majina na namba kabisa iwe visible mtu kujua nani amehusika na tukio fulani
4. Nashauri kuwepo na usimamizi maalum.Wodi 5 surgical wagonjwa wengi wanateseka manurse wanawaangalia.Wakati mwingine inabidi uwaonbe jaman mgonjwa yule anaomba msaada wanasema kwani atumsikii??
5. Nashauri mruhusu wagonjwa waliohoi wawepo msimamizi mmoja anaeshinda nae asubuhi mpaka asubuhi kuondoa manunguniko kwañn
Kuna mgonjwa tumekuta analalamika kwa ndugu zake jioni ajapewa chakula na chakula mchana ndugu walichelewa kidogo wakambiwa kiacheni tutampa yule mgonjwa hakupewa kabisa kabisa
Yapo matukio mengi. Mwanyamala serikali muangalie kuwahamisha hawa manesi wamezoea kazi
Kuna hili tukio lilinihuzunisha sana kabla ya wodi 5 mgonjwa alikuwa wodi moja upande wa kulia sikumbuki namba...Akaja mgonjwa mmoja manurse wakambiana huyu afikishi masamanne..Mkimbizieni oxygen
Mkaka wa watu akapewa oxygen siku ya kwanza huyo ya pili huyo yatatu huyoo akatolewa oxygen manurse awaamini wakanza ambiana kha yale masaa yamegeuka siku mungu apangiwi...Hataree sana sanaa
Kama unamgonjwa unajua yuko hoi ushauri tu peleka luganzila ama muhimbili
Lugalo wamempokea mgonjwa wanashanga vile vidonda na bahati kulikuwa na madaktari bingwa wakamsaidia wakandika na ripoti hali waliompokea nayo na kusema watawakilisha huko juu kupata maelekezo zaidi...
Manurse Mungu awasamehe sana hata kama mtakuja hapo bado heshimuni uhai wa mungu alietupa na nyie kuwepo hapo
Mbona hamna upendo kama manurse wenzenu wa Lugalo??
Tunatoa shukran nzima kwa wauguzi na madk wote wa lugalo waliompokea wapendwa wale watu wana Mungu wana hofu ya mungu...
Nimekaa masaa machache wanakuja wagonjwa kwenye gari wanawakimbilia na kutoa dir wapeleken pale wako nyuma na kumsaidia mgonjwa mmoja mmoja
Mungu awabariki sana saba uongozi mzima wa lugaloo hosp