Mwanangu mkorofi, anajikojolea kitandani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kma vilitaka fanana na vyako[emoji23][emoji23]
Jamani hakuna kiatu kinampendeza mwanaume kama Loafers jaman..yaan mnapend3za sana jaman hamjui tu..mimoka hii mm marufuku kbs
Duh[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
hata wewe mzaz unashida unahitaj msaada...Maelezo bila picha ya mtoto yangetosha..
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mimi nakumbuka mara ya mwisho nilitoroka kwa mamdogo asubuhi ya saa 11 baada ya kukojoa kitandani. Aisee nilikimbia vibaya sana. Halafu nilikuwa darasa la tano sasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mwaka 2007
 
akiacha kukojoa atakuwa na kumbukumbu.
La nyongeza asinywe chai ya rangi kabisa. Juisi za viwandani asinywe pia. maji asinywe usiku. la zaidi mdhibiti kucheza kupita kiasi.
 
Umevunja sheria za watoto ungeficha sura au unafikiri mtoto akikuwa akiiona thread itakuwaje jinsi unavyomuanika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…