Nilisoma na hao waliokuwa wanaongeleshwa english nyumbani, mmoja akaishia kuwa gay baba yake aliyekuwa anajifanya kumlea kiinglish uswahilini akajifanya kumgeuka mwishoe mtoto akajiua, mwingine akachanginyikiwa alivyokuwa mkubwa kwa kukosa marafiki sasa mlevi wa kupindukia analala kwenye mitaro uswahilini na yeye ndiyo Mswahili kuliko hata sisi tuliolelelwa kikwetu Kiswahili, wakati sisi tuliolelewa kiswahili tuko stable na tumekuwa ma alpha male, kiingereza tumejifunza tumekijua kinatutosha kwenye ajira zetu na tunapokihitaji na pia tunajivunia Kiswahili na uswahili wetu!