Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
si ndizo mnasomesha watoto wenu!! otherwise watoto wako hawasomi huko ndyo hutokuwa mhusika!
Kwa wewe hazikuhusu?
si ndizo mnasomesha watoto wenu!! otherwise watoto wako hawasomi huko ndyo hutokuwa mhusika!
Kwa wewe hazikuhusu?
hazinihusu
OK, kwa hiyo wewe siyo mlipa kodi na wala hauishi kwenye ardhi ya JMTZ?
yes ofcourse
Acha kukariri mkuu we kama hujapanga kupeleka wanao shule hizo acha sisi wengine tulio na mpango huo tupeleke tunajua tunachokifanya hata kama ni kwa kujinyima maana siji kwako kuomba msaada maana kila mtu hupanga afanye nini maishani,hivi umeshajaribu kwenda shule zetu hizi kwenda kuona idadi ya watoto darasani na unadhani mwl atapata wapi muda wa kumsaidia mtoto mmoj mmoja kwa darasa lenye watoto 120? Kwanza walimu wa hizo shule karibu wote wamekata tamaa wanaenda tu kazini alimradi ukiongeza na haya makato yaliyoongezwa ya bodi ya mikopo ndo balaa kabisa........we wapeleke tu wanao lkn wa kwangu mtawapeleka shule ambayo ina walimu walio na ari ya kazi na wako motivated na darasa lina watoto wachache ambao mwl ataweza kumsaidia kila mtoto kwa ukaribumkuu huko ni kujinyima wewe na kumnyima mtoto wako.
hakuna familia imemtuma mtu eti ulipe mapesa mengi kwa sababu ya kujifunza lugha ya watu wengine utotoni na ilhali hapo hapo hao hao wanaowasomesha watoto wao lugha hyo ya kigeni wanataka masomo yafundishwe kwa lugha ya nchi yao.
huo ni uchwara ambao mwenye uchwara mwenyewe hajui kama anao.
kuna huduma za msingi sana za kumfanyia mwanao na sio kumharakishia kujua mambo ambayo yapo kinyume na umri wake.
Ww hauna utofauti na mimi safi iyo nzuriNilipigana ili mwanangu asiishi maisha niliyoishi.
Hatasoma shule za kata
Kiswahili ataongea na wenzake mtaani home ni English
Mkuu pokes like x 10 ! Kuna watu Hawaoni uhalisia!Acha kukariri mkuu we kama hujapanga kupeleka wanao shule hizo acha sisi wengine tulio na mpango huo tupeleke tunajua tunachokifanya hata kama ni kwa kujinyima maana siji kwako kuomba msaada maana kila mtu hupanga afanye nini maishani,hivi umeshajaribu kwenda shule zetu hizi kwenda kuona idadi ya watoto darasani na unadhani mwl atapata wapi muda wa kumsaidia mtoto mmoj mmoja kwa darasa lenye watoto 120? Kwanza walimu wa hizo shule karibu wote wamekata tamaa wanaenda tu kazini alimradi ukiongeza na haya makato yaliyoongezwa ya bodi ya mikopo ndo balaa kabisa........we wapeleke tu wanao lkn wa kwangu mtawapeleka shule ambayo ina walimu walio na ari ya kazi na wako motivated na darasa lina watoto wachache ambao mwl ataweza kumsaidia kila mtoto kwa ukaribu
Habari yako Mpendwa,Nilipigana ili mwanangu asiishi maisha niliyoishi.
Hatasoma shule za kata
Kiswahili ataongea na wenzake mtaani home ni English