Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,624
moja kwa moja kwenye mada.
mimi nashangaa sana wewe maisha unaunga unga kula ya tabu mshahara haukutoshi kabisa eti unampeleka mwanao nursery ada zaidi ya milioni kwa mwaka,hivi una akili au matope???????
Akili ni kumpeleka mwanao akapate kila hatua ya ukuaji aendane na akili yake,haiwezekani toto la chekechea liongee kiingereza kama jitu zima alafu unasema maendeleo,upuuzi tu wakuu amini nawaambieni.
nakuambia ukijifanya unamsomesha mwanao upuuzi kama huo ambao hauendani na umri wake basi kuna vitu tu navyo vya kiutu uzima atavijua mapema mno.unadhani atajua english tu eenh?
ndo mana mitoto mingi(sio yote) ambayo imesoma shUKle za ghalama tabia zao mbovu kwa sababu wazazi wao walitaka watoto wayajue mambo makubwa mapema sana.
unasomesha mtoto ada zaidi ya milioni(au milioni)wakati hata kibanda huna kudadeki huu ni ujinga ambao wengi wanadhani ni ujanja.
ujanja mpeleke mwanao shule ya kata ya ada za kawaida ambayo atapata elimu kutokana na umri wake,ila zaidi zaidi ni hivi.
Usiende shuleni na njaa kama ambavyo baba yake alienda
asiende shule na nguo chafu kama ambavyo baba yake alienda
asiende shule umbali mkubwa kama ambavyo baba yake alienda,lazima umtengenezee mazingira mazuri ya kuendea shule ili asiwe na stress,sisi shule ambazo tulisoma enzi hizo mara nyingi mawazo ndo yalitufelisha mara ukirudi hna kula,mara matatizo matupu.uhakika ukimpeleka mwanao shule yenye ada ya kawaida au hata ya serikali na ukawa na SUBRA na huku unamfundisha mwanao maadili mema basi mtoto wako atkua vizuri tu.
pesa ya ada tunza baada ya miaka mitano una kiwanja na kamtaji kabiashara.
wakati wa kulipa ada mamilioni utafika tuu na wala sio chekechea bhana huo ni ufujaji pesa.
ETI kuongea kiingereza na mambo mengine ndo kukulipishe ada nyingi namna hiyo?upuuzi tu.
kama wewe ni mtu unapesa zako sikulaumu kwa sababu zipo nyingi peleka hata marekani uchezee pesa zako.lakini kama ndo mwenzangu na mimi tunaishi kwa mikopo achana na huo upuuzi
mimi nashangaa sana wewe maisha unaunga unga kula ya tabu mshahara haukutoshi kabisa eti unampeleka mwanao nursery ada zaidi ya milioni kwa mwaka,hivi una akili au matope???????
Akili ni kumpeleka mwanao akapate kila hatua ya ukuaji aendane na akili yake,haiwezekani toto la chekechea liongee kiingereza kama jitu zima alafu unasema maendeleo,upuuzi tu wakuu amini nawaambieni.
nakuambia ukijifanya unamsomesha mwanao upuuzi kama huo ambao hauendani na umri wake basi kuna vitu tu navyo vya kiutu uzima atavijua mapema mno.unadhani atajua english tu eenh?
ndo mana mitoto mingi(sio yote) ambayo imesoma shUKle za ghalama tabia zao mbovu kwa sababu wazazi wao walitaka watoto wayajue mambo makubwa mapema sana.
unasomesha mtoto ada zaidi ya milioni(au milioni)wakati hata kibanda huna kudadeki huu ni ujinga ambao wengi wanadhani ni ujanja.
ujanja mpeleke mwanao shule ya kata ya ada za kawaida ambayo atapata elimu kutokana na umri wake,ila zaidi zaidi ni hivi.
Usiende shuleni na njaa kama ambavyo baba yake alienda
asiende shule na nguo chafu kama ambavyo baba yake alienda
asiende shule umbali mkubwa kama ambavyo baba yake alienda,lazima umtengenezee mazingira mazuri ya kuendea shule ili asiwe na stress,sisi shule ambazo tulisoma enzi hizo mara nyingi mawazo ndo yalitufelisha mara ukirudi hna kula,mara matatizo matupu.uhakika ukimpeleka mwanao shule yenye ada ya kawaida au hata ya serikali na ukawa na SUBRA na huku unamfundisha mwanao maadili mema basi mtoto wako atkua vizuri tu.
pesa ya ada tunza baada ya miaka mitano una kiwanja na kamtaji kabiashara.
wakati wa kulipa ada mamilioni utafika tuu na wala sio chekechea bhana huo ni ufujaji pesa.
ETI kuongea kiingereza na mambo mengine ndo kukulipishe ada nyingi namna hiyo?upuuzi tu.
kama wewe ni mtu unapesa zako sikulaumu kwa sababu zipo nyingi peleka hata marekani uchezee pesa zako.lakini kama ndo mwenzangu na mimi tunaishi kwa mikopo achana na huo upuuzi