Mwanangu atasoma shule ya kata kama mimi tu

Mwanangu atasoma shule ya kata kama mimi tu

Habari yako Mpendwa,
Unamaoni gani kuhusu matumizi ya lugha ya kufundishia katika ngazi zote za Elimu(Awali-chuokikuu),

Je,kiswahili kitumike au kiingereza kitumike au lugha zote kwa pamoja..?

Shukran!
Kwa kweli Kiingereza kingeanzia shule ya awali kwanza watoto ni wepesi kukua na lugha mbili
 
Sky Eclat!

Maaoni yako ni kwamba lugha moja ya kufundishia itumike ambayo ni kiingereza kuanzia awali mpaka Elimu ya Juu..

Vipi waonaje hali ya Shule za"English medium" itakuwaje kama lugha ya kiingereza ikianza kutumika kuanzia awali kama maoni yako pendekezwa hapo juu,maisha yao yataendelea kuwa marefu na imara au yatadhoofu na kupotea..?
 
Sasa si ninajinyima kwa ajili yake,we we unaumia nini?

Watanzania wote tungekuwa na mawazo kama ya kwako basi hata jamiiforums isingekuwepo.

Acha mtu aipe familia yake kile ambacho kinamtuma.
Povu,huyu hapa mmoja kanasa
 
Waafrika wengi wanaongea english tangia utotoni kama Kenya, Malawi, Zambia, Ghana &Co. lkn ndo bara masikini kuliko bara lolote lile Dunia hii kwa kila kipimo cha Umaskini kijulikanacho na binadamu!

Wakorea hawajui english lkn wanaisimamisha Dunia na nuclear power!
Leo umeongea point
 
Back
Top Bottom