mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,921
- 3,549
Habari wakuu,
Naomba niende kwenye mada, mwanangu ana umri wa miaka minne,juzi ndio tumegundua kuna kinyama kimening'inia kwenye koo (kimeo).
Na hili wazo la kumchunguza lilikuja baada ya kuwa na hali ya kukohoa mara kwa mara licha ya kuwa huwa tunampa dawa za kifua na kikohozi.
Nimejaribu kuzungumza na baadhi ya jamaa zangu juu ya tatizo hili na wao kusema kwamba huwa kuna watu wanakata kienyeji sasa mimi nimeamua kulileta hapa ili kupata ushauri.
Natanguliza shukrani zangu.
Naomba niende kwenye mada, mwanangu ana umri wa miaka minne,juzi ndio tumegundua kuna kinyama kimening'inia kwenye koo (kimeo).
Na hili wazo la kumchunguza lilikuja baada ya kuwa na hali ya kukohoa mara kwa mara licha ya kuwa huwa tunampa dawa za kifua na kikohozi.
Nimejaribu kuzungumza na baadhi ya jamaa zangu juu ya tatizo hili na wao kusema kwamba huwa kuna watu wanakata kienyeji sasa mimi nimeamua kulileta hapa ili kupata ushauri.
Natanguliza shukrani zangu.