Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,083
Lazima mtu awe na hasira kama za Galadudu na kuwapa hawa bodaboda funzo...hakikisha hiyo kesi inaenda mahakamani. Ameendesha kwa uzembe na kusababisha ajali kiasi cha kutishia maisha ya motto. Inampasa jela...ningejua hiyo hospitali ningeongea na Dr aandike ripoti nzuri ya kumtia mtu jela...wamezidi hawa nasi tunawachekea.
Last edited by a moderator: