Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,073
Mkuu punguza hasira, usije 'jinunulia' murder case.Wamenigongea mtoto wangu asubuhi hii anavuka kwenda shule akiwa kwenye Zebra, magari yote yamesimama lakini yeye akajifanya ana haraka sana akaunga na baada ya kumgonga akataka kukimbia.
Sasa hapa tupo Hospitali, tukitoka hapa huyo jamaa nitamshughulikia mi mwenyewe, nna hasira nae sana.
Tumia taratibu za kawaida za kisheria, ingekuwa vyema uripoti tukio hilo kwenye Police Station ilyo jirani na hilo tukio lilipotokea.