Pole sana
Pikipiki ni majanga
Nilishuhudia mmoja alimwingiza abiria wake chini ya uvungu wa prado (yeye mwenyewe aliruka) kwa kujifanya ana haraka kupita wakati magari yamesimama kumpisha aliyekuwa anatokea barabara nyingine
eeeh hii kali yaani baba mtu mwanao kagongwa na pikipki jamii forum ndyo kimbilio jamani tumeisha, ni mtazamo tu bro, kuna mambo mengi ya msingi ya ku share na watu sio kila tukio la nyumbani kwako nasi tulijue.
Umenikumbusha mbali sana! nakumbuka 2010 bodaboda aliingia uvunguni mwa semi-trela akiwa amempakisha dada mmoja yule dada alipasuka vibaya sana walizomba vipande vya nyama pale chini kwa ndoo!
Umenikumbusha mbali sana! nakumbuka 2010 bodaboda aliingia uvunguni mwa semi-trela akiwa amempakisha dada mmoja yule dada alipasuka vibaya sana walizomba vipande vya nyama pale chini kwa ndoo!
Pole sana kwa ajali hiyo ya mwanao, hakuna mwenye leseni halali na kama aliipata hajui utaratibu na nidhamu za kuendesha, msamehe bure ila iachie serikali imhukumu
Mkuu ni jukwaa mojawapo ya kuelimisha jamii, bodaboda ni usafiri wa public na barabara nako tunatumia wananchi wote kwa ujumla ni mambo ambayo yanagusa jamii nzima. Kwa hyo yuendelee kujulishana na kuelimishana!