Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Mange kimambi ameandika yafuatayo
"Samia, Wambura, Mombo, Mafwele, Murillo, na washirika wenzao hawa wote safari yao ni ICC mahakama ya makosa ya jinai . Hawa wote mwisho wao ni kuhukumiwa kunyongwa.
Na huko ICC watakaofanya wakuhumiwe kunyongwa ni mashahidi walioshuhudia mauwaji na waliorekodi mauwaji hayo directly.
Wanajaribu kuitumia tume hii kujua wakina nani waliotuma video zile zilizopostiwa ili wajue ni kina nani watakaoweza kutoa ushahidi dhidi yao ili wawadhibiti.
Kumbukeni meta wamenifungia mpaka account ya WhatsApp sababu hii ndio account iliyokuwa anapokea zile video, zile video ndio zimeharibu kila kitu, Kumbukeni walizima internet ndio wakaua watu sababu hawakutaka ushahidi uwepo.
Nawahikishia, Mtanzania yoyote atakaejichanganya akatuma evidence kwa hawa viumbe utaishia kupotea bila kujulikana umepotelea wapi"
"Samia, Wambura, Mombo, Mafwele, Murillo, na washirika wenzao hawa wote safari yao ni ICC mahakama ya makosa ya jinai . Hawa wote mwisho wao ni kuhukumiwa kunyongwa.
Na huko ICC watakaofanya wakuhumiwe kunyongwa ni mashahidi walioshuhudia mauwaji na waliorekodi mauwaji hayo directly.
Wanajaribu kuitumia tume hii kujua wakina nani waliotuma video zile zilizopostiwa ili wajue ni kina nani watakaoweza kutoa ushahidi dhidi yao ili wawadhibiti.
Kumbukeni meta wamenifungia mpaka account ya WhatsApp sababu hii ndio account iliyokuwa anapokea zile video, zile video ndio zimeharibu kila kitu, Kumbukeni walizima internet ndio wakaua watu sababu hawakutaka ushahidi uwepo.
Nawahikishia, Mtanzania yoyote atakaejichanganya akatuma evidence kwa hawa viumbe utaishia kupotea bila kujulikana umepotelea wapi"